Makapuku Forum

Makapuku Forum

7/Hulk Hogan
09f6df76b1585477e59226db08fa5422.jpg
97cebab559baf3d6445a51a3aa803cdf.jpg
f6b2c3a762262ed935990a4830fa8f05.jpg

Alizaliwa Agosti 11 mwaka 1953
Kuna asiyemjua babu huyu mtata mwenye ndevu za beberu ?
Ni mtata haswa nje ya ulingo. Maisha yake yamejaa mikasa na visa chungu nzima
Anasifika kwa kupenda dogodogp sisi tunaita chuchu saa 6
Ana kesi kobao za kubaka mademu mbalimbali inaonekana ibabe wake anapeleka hadi kitandani
Huyu ni mcheza filamu maarufu na keshacheza filamu nyingi toka enzi hizo hata kabla ya umaarufu wake kuwa mkubwa :
Anatajwa kuwa na utajiri wa USD 26 Milioni
........
 
suala sio hilo yan nikae niangalie watu wakipigana yan wakaumizana ni kama ilivyo mpira ngumu kunishawishi tena at least hata mpira sasa hivi sio huu kwa kweli mtu anapigwa na kiti kama marehem umaga na kidole chake hahahhaa bora nilale tu

Madame S
9c8d6f2b48d13e0be1e78ca348e019fc.jpg
34e7b2af16fe2eb0abd268a7402aa20d.jpg

Zamani kulikuwa na mpira wa wanaume
Siku hizi wavulana walaini kama wacheza rede

.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom