Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hawa walikuwa wawili bitoz kipindi hicho mwenzie nimemsahau jina lake nilikua simpendi great kali sjui asee umenikumbusha mbali

Madame S
bf6e5ddf170ffac3badb8eb49b991bf4.jpg

Ni The Great Carl Lee
Almaarufu Great Khali

......
 
2/Dwayne Johnson
8180a7ea9d34e4563a580d835431f4c5.jpg

4c093809da867b09915bacb578a03e54.jpg
42ef7d4bbfed2613c2f195ab12a2949e.jpg

Alizaliwa mwaka 1972 tarehe 2 Mei
Yeye anajiita The Rock yaani mwamba
Kwenye mieleka ni kama vile hana mpinzani na ni mwamba kweli we waulize akina John Cena ,Triple H ,Hulk Hogan watakwambia jamaa mgumu kama mwamba wa kule Mahenge ambayo kuipasua hata kwa baruti ni mbinde
Kwenye filamu jamaa pia anafanya vizuri haswa muvi za kibabe
Pia anavuta mkwanja kupitisma mikataba ya kibiashara/matangazo
Ana utajiri wa USD 145 Milioni
......
 
2/Dwayne Johnson
8180a7ea9d34e4563a580d835431f4c5.jpg

4c093809da867b09915bacb578a03e54.jpg
42ef7d4bbfed2613c2f195ab12a2949e.jpg

Alizaliwa mwaka 1972 tarehe 2 Mei
Yeye anajiita The Rock yaani mwamba
Kwenye mieleka ni kama vile ana mpinzani na ni mwamba kweli we waulize akina John Cena ,Triple H ,Hulk Hogan watakwambia jamaa mgumu kama mwamba wa kule Mahenge
Kwenye filamu jamaa pia anafanya vizuri haswa muvi za kibabe
Ana utajiri wa USD 145 Milioni
......

Weeee kumbe huyu naye alikua mcheza mieleka? Wallah nilikua sjui nampenda huyu mbaba sana

Madame S
 
2/Dwayne Johnson
8180a7ea9d34e4563a580d835431f4c5.jpg

4c093809da867b09915bacb578a03e54.jpg
42ef7d4bbfed2613c2f195ab12a2949e.jpg

Alizaliwa mwaka 1972 tarehe 2 Mei
Yeye anajiita The Rock yaani mwamba
Kwenye mieleka ni kama vile ana mpinzani na ni mwamba kweli we waulize akina John Cena ,Triple H ,Hulk Hogan watakwambia jamaa mgumu kama mwamba wa kule Mahenge ambayo kuipasua hata kwa baruti ni mbinde
Kwenye filamu jamaa pia anafanya vizuri haswa muvi za kibabe
Pia anavuta mkwanja kupitisma mikataba ya kibiashara/matangazo
Ana utajiri wa USD 145 Milioni
......

Movie za huyoo jamaa ni sheeedaa.... Huwa sichoki kuziangalia
 
1/Vince McMahon
a85c73afbc545fe9bd3bcac8402ce513.jpg
47842eda50b678ca31b8ca12a4ef55e8.jpg
aff719fd82098f3b2ae74e6ef2e3e85e.jpg

Akiwa na Stephanie
1d6c84dafe73cc9a41d24ca84e36179e.jpg

Alizaliwa Agosti 24 mwaka 1945
Ndiye baba wa Diva wa miekeka Stephanie McMahon ambaye kwa sasa kwa wanawake hana mpinzani
Alikuwa ni mcheza miekeka nguli enzi zake licha ya kuwa na umbile la kawaida
Baada ya kustaafu akaanzisha kampuni za mieleka ambazo yeye ndiyo anazoziongoza kama CEO sasa unapomuona ulingoni kashika kipaza sauti usifikiri anauza sura pale yupo kwenye biashara zake ujue
Pia keshawahi kucheza filamu kibao tu

Ana utajiri wa USD 800 Milioni
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane Jumatatu
Mwisho
...............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom