Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Na pia usaidia kupunguza njaa nimeongeza tu pia
post using my macbook air using jamiiforums app



asanteeMadame S
Na pia usaidia kupunguza njaa nimeongeza tu pia
post using my macbook air using jamiiforums app



asantee
Sawa shemejiRelax shemej
Madame S
4/John Cena![]()
![]()
![]()
Alizaliwa April 23 mnamo mwaka 1977
Hivi huyu ni nahodha wa wacheza mieleka ? Maana muda wote anafunga beji mkononi kama Michael Carrick vile
Huyu ni mbabe wa mieleka aliyetukuka kwa kugawa vipondo
Keshatwaa mataji kibao tena kwa staili ya kibabe
Sikumbuki kumuona na kichupi ulingoni labda ana makalio kama ya Bashite maana kila siku ni kaptula tu
Anajishughulisha pia na filamu
Juzijuzi tu kamvisha pete demu wake mwanamieleka
Ana utajiri wa USD 40 Milioni(vyanzo vingine vinadai ni USD 55 Milioni)
.......
Jioni ni njema shemelaHabarini za alasiri ndugu zangu wa KF
HahahaaAisee mm naupenda huu mziki nafikiria one day niishi dar nikajionee vigodoro..



Hahaa.Usilie jamanii...
Sio kwa kunihamisha hukooo... Mpaka nimesahau mmu


Mi nilikuwa nahisi kuwa anafanya hiphop nje ya mieleka
5/Triple H![]()
![]()
![]()
Alizaliwa Julai 27 mwaka 1969
Namwongelea Triple H na sio yule Triple 6 wa Jf ambaye ni maarufu kwa kutukana
Huyu ni bingwa mara kadhaa wa mieleka na pia ni mcheza filamu mahiri
Triple H maana yake ni Hunter Heart Hensley sasa kama ulijua ni tofauti sawa na zile KKK mimi sijui
Anatajwa kuwa miongoni mwa masupastaa wa WWE wa muda wote
Ana utajiri wa USD 30 Milioni
....................................
Zitaendelea baadaye
Sipiti hukooo sanaa ujue... Mara moja kwa wikiHahaa.
Kumbe hupiti kule tena? Ndio maana kina Rubii wanakuulizia![]()
Hivi lakini kwanini Mungu alikuleta kwangu ? You are great gift to me..Sipiti hukooo sanaa ujue... Mara moja kwa wiki