Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/John Cena
68ec7ec9482582c25daee8b494f74be8.jpg
0a88d7eb3f8fb8d414cd1cf0d5124cb1.jpg
b0abdf0396b498652d719a0872a63830.jpg

Alizaliwa April 23 mnamo mwaka 1977
Hivi huyu ni nahodha wa wacheza mieleka ? Maana muda wote anafunga beji mkononi kama Michael Carrick vile
Huyu ni mbabe wa mieleka aliyetukuka kwa kugawa vipondo
Keshatwaa mataji kibao tena kwa staili ya kibabe
Sikumbuki kumuona na kichupi ulingoni labda ana makalio kama ya Bashite maana kila siku ni kaptula tu
Anajishughulisha pia na filamu

Juzijuzi tu kamvisha pete demu wake mwanamieleka

Ana utajiri wa USD 40 Milioni(vyanzo vingine vinadai ni USD 55 Milioni)
.......

Mi nilikuwa nahisi kuwa anafanya hiphop nje ya mieleka
 
5/Triple H
04cc1c7dd704a5a6e5280c00bb60c769.jpg
e2471223c22bd8d45a5c5dfbd10cca42.jpg
4bf37e2639bb8267384bd1bbc83eab03.jpg

Alizaliwa Julai 27 mwaka 1969
Namwongelea Triple H na sio yule Triple 6 wa Jf ambaye ni maarufu kwa kutukana
Huyu ni bingwa mara kadhaa wa mieleka na pia ni mcheza filamu mahiri
Triple H maana yake ni Hunter Heart Hensley sasa kama ulijua ni tofauti sawa na zile KKK mimi sijui
Anatajwa kuwa miongoni mwa masupastaa wa WWE wa muda wote
Ana utajiri wa USD 30 Milioni
....................................
Zitaendelea baadaye

Hawa walikuwa wawili bitoz kipindi hicho mwenzie nimemsahau jina lake nilikua simpendi great kali sjui asee umenikumbusha mbali

Madame S
 
3/Steve Austin
a000b14520c0d679658d13aae194630a.jpg
c76e11a05928f25e8d19101f01990fc0.jpg
0bb97df158afc5278f53eea2603bb28b.jpg
Alichaliwa Desemba 18 mwaka 1964
Huyu ukimwita tu nguli wa mieleka ni kama unampunja sifa maana kwenye filamu pia anakimbiza vibaya pale Hollywood
Ni mzaliwa wa kojijini kwa George Bush pale Texas ila hawana mambp ya kupigana assist kama waswahili huku
Ana mikataba kibao ya matangazo na kucheza filamu za kibabe
Kwenye mieleka keshabeba mataji kibao :

Ana utajiri wa USD 45 Milioni
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom