Makapuku Forum

Interesting

Madame S
 
Namba 3.

Adrian Lamo.

Huyu ni mmarekani pia na amezaliwa marekani.

Lamo anashikilia rekodi ya kufanya udukuzi na kuvamia mitandao mikubwa duniani kama yahoo, microsoft ya Bill Gates, Google na New York Times.

Lamo ndie alimuripoti na kumshtaki Mwanajeshi wa marekani Chelsea Manning aliisaliti nchi kwa kutoa mafaili ya siri ya jeshi na mafaili ya kidiplomasia zaidi ya 760, 000.

Chelsea alidakwa na kufungwa .

 
Namba 2.

Lulz Security,

Hili lilikuwa ni group la hackers ambalo limekiwa likifanya udukuzi kwenye mitandao mikubwa .

Lulz Security wamemia computer za FBI nchini marekani , CIA nchini marekani , Scotland Yard, sony na News international ma mitandao midogo midogo mingi.

Hawa walikuwa wanavamia computer na kiweka ujumbe wa " Laughing at your security since 2011!" Wakimaanisha "Tunacheka usalama wa mtandao wako toka 2011"

Mwisho na vunja mwaka wakaamua kudukua jarida la The Sun na The Times kitangaza kustaafu kwao katika kazi za udukuzi wa mitandao ..

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…