Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Aiseee una nini lakini shemelaSio mara ya kwanza, kila siku, itabidi afungiwe shingoni awe anatembea nayo
Ahahhhh joti hapana jamaan hata kama umenuna veep utacheka tu
Safi sana sijui pande hizo
Huku kwema kabisaSafi sana sijui pande hizo
Kwa kipi has a?!Aahh.. husna ntake radhi ndugu yangu..
Tycoon MAKAVELI Jr.
NdioKumbe charambe tuu hapo..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Ndo Utaelewa sasaMmh ebu achana na shemela shululu ni mchochezi unipotezee ili iweje
Nipo makini sana mdogo angu anatumia left handInternational Left-Handers Day.
Namba 5,
Asilimia kubwa ya left-handers wana hatari ya kupata magonjwa ya akili.
Hili pia sio jambo geni masikioni mwa watu ambao wamekuwa wakijihusisha na watu wa aina hii. Asilimia 30% ya watu hawa huweza kupatwa na magonjwa ya akili kama schizophrenia, dyslexia, au ADHD.
Haya magojwa akili sio kichaa, ila kubadilika kwa tabia za mtu na uhalisia,mengi ynakuwa ni matatizo ya kisaikolojia. vingi vinahusiana na emotions na feelings. Mfano wa dyslexia ni, left handers anaweza kuchukua muda kujua kufanya kazi ambayo inshikirisha ubongo wa kushoto na kulia kwa wakati mmoja. eg, kuendesha gari za manual transmission.
Hivi kwa nini haujawa askariNdo Utaelewa sasa
Uko poa kiongozi
DuuuuInternational Left-Handers Day.
Namba 3.
Wauaji wengi ni Left Handed.
Kumekuwa na imani katika jamii kuwa watumiaji mkono wa kushoto ni wauaji kwa nammna fulani. Hii ikemuwa inaaminika hivyo kwa kuwa shetani anaaminika kuwa left handed na muuaji. Lakini pia kuwa wauajia amabo walikuwa ni left handed kama Osama Bun Laden, Boston Strangler na Jack the Ripper.
PoaTukutane baadae kwenye matokeo ya mechi za leo![]()
Ulilala buanaujue jana nilikesha nae hapa
Nililala kwenye saa 7 hiviiUlilala buana