shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
NdioUkubwa zaidi ya huu nilionao
NdioUkubwa zaidi ya huu nilionao
Me nimeuliza tu shemela
Ata sibishiUnabisha au
Shemela kwa nini mnabisha miaka yangu niliyonayo hivi kumbe mnapenda kuongopewa eenhNdio
Msalimie sana...Nipo makini sana mdogo angu anatumia left hand
Hapo sawaAta sibishi
Kwani uongo shemela, kila siku analalamika hapa hapaAiseee una nini lakini shemela
Asante T zimefikaMsalimie sana...
Mwambie atembelee hapa kuna vifaa vya left-handers and anaweza kuwa member kwa club...
Though ni hii club ipo Uk based..ila ina operate world wide..
Www.anythinglefthanded.co.uk
HaswaaaaaaaaNdo Utaelewa sasa
Kwenye list ya wabaya Wa binamu yakooNa nani aliyeniandika![]()
Umri ushamba mkonoHivi kwa nini haujawa askari
Kwani uongo shemela, kila siku analalamika hapa hapa
basi jamaan ujue sababu hakapo busy nisameheni mbona tigo siwezi iachaHujui au unazuga tu?!Nimefanyaje jaman
Ndio hivyoNililala kwenye saa 7 hivii
Kwenye list ya wabaya Wa binamu yakoo


na yeye kwenye list yangu yupo
Ebu nikumbushe jaman mpendwa wa binamu halaf story vipiiHujui au unazuga tu?!
Basi mpe no ya tigo, si Dada yako lakini![]()
basi jamaan ujue sababu hakapo busy nisameheni mbona tigo siwezi iacha