Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shenz saana hawa..

Na shemej siwez kukukataza urafk nao cz sijui ushoga wenu umeanzia wap, ila kuwa nao makin mnoo.. mie mumeo ni rafk yangu kitambo toka vidudu mpaka leo tuna watoto, mumeo sio chenjegu shemej na nina kuhakikishia anakupenda kuliko anavyoweza kusema..

Mapenz anayokuonesha hayajafikia hata robo ya vile anavyokuzimia..

Tycoon MAKAVELI Jr.
tulichezea vifuu na sasa tuna wajukuu ooo sipendi matataaa matataaaa sipendi matata naogopaaa eeee. .....
 
tulichezea vifuu na sasa tuna wajukuu ooo sipendi matataaa matataaaa sipendi matata naogopaaa eeee. .....
Teh teh teh... aaagg!! Husna umenikosha, enzi hizo tycoon ni tycoon kweli.. unarud mayenu hutoki hata jasho.. mie n mwanangu shululu..

Wakat huo morogoro road haina hata lami... siku zinaenda kweli..

Tycoon MAKAVELI Jr.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom