Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Aku.. mie sijasema kama alimaanisha hvyo, mie nmekuuliza tu unaikumbuka..![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
haya naikumbukaaAku.. mie sijasema kama alimaanisha hvyo, mie nmekuuliza tu unaikumbuka..![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
haya naikumbukaaMtaani kwao ukiskia kindumbwe ndubwe tuu.. ujue nyangema kaisha mwagilizia godoro na maji taka..![]()
![]()
![]()
kiko..zi!!
Unacheka nn?
![]()
![]()
wenzio huyo ni kaka etu ujue,mambo ya kumuaibisha hadharani tunaona aibu sie
![]()
![]()
![]()

Shemela nisamehe, si unajua kufukua makaburi ilivyokaziHana jina shemela huyo unayempa hongera
Nahisi ni kiaz kitamu kati na mbatata moja moja kila upande..Haya sijui unacheka nini. Au ni kiazi mbatata?
Hongera shemela kwa 261KHana jina shemela huyo unayempa hongera
Hilo sweta ulilomuwekea mke mweeUnacheka nn?

Basi nimekomaWeye nawe ukipewa kichwa cha habar tu.. habar nzima wamalizia ww..![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Ni mimi apa sijui nani mwanzo alinipa hongeraShemela nisamehe, si unajua kufukua makaburi ilivyokazi
Wavietnam nux.. mmarekan alikula kona, muulize bi husna mubaraqUzi uendelee kuwa hivihivi
Yaani tukiwa free tunajimwaga kupiga stori na kupeana mawili matatu
Tukibanwa tunapotea kama staili ya Wavietnam
Ila tuyaache mdau
![]()
![]()
![]()
.......
Leo katokota kwa burnleyWe ni jogoo wa anfield kumbe..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Leo nilikutana na ngongoti kumbe hizi mambo bado zipo miaka hiiMtaani kwao ukiskia kindumbwe ndubwe tuu.. ujue nyangema kaisha mwagilizia godoro na maji taka..![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Sizonje hataki kusikia kabisa tycoonImefanyaje mkuu..!!?
Tycoon MAKAVELI Jr.
Asanteeee shemela akeeHongera shemela kwa 261K
Ndio nlihisi maeneo mengi msimu wa baridi haujaisha so nnapomuandalia begi la safari nkamuekea jamaniHilo sweta ulilomuwekea mke mwee![]()
Ha haaa mi simoooNahisi ni kiaz kitamu kati na mbatata moja moja kila upande..![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.