Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
HaaaaahaaaaMapenzi ni starehe sio kukomoana hivyo na vumbi la congo na hili iweje kwa mfano hashuki unamshusha tu kilazima
Bado linaendeleaKaribu, naona fungate limeisha
HaaaaahaaaaHapo mjukuu wangu ndo unashangilia au![]()
SalamaNiaje wakuu
Unapendekeza muda gani wazoeane ndipo waende hatua nyingine?unajua kabisa hapa nikiingia nishamzoea huyu na tabia zake nikikosea kitu ni kipigo sio uchumba ndani ya miezi sita mmeshaoana woiiii
Yuko vizuri japo ndio umri hauna spoti spoti![]()
Anaonekana kama anacheza mchezo wa kike ila jamaa anakusanya tu mpunga![]()
....
Kweli shem anaongea tu cuzooHaaaaahaaaa
Sawa sawa

Shem kuanzia miaka miwili hivi au mmoja na nusu na kuendelea mbele huko mnajuana vizuri zaidiUnapendekeza muda gani wazoeane ndipo waende hatua nyingine?
Atakuwa na maana hiyoKwahiyo babu baba d asipoonekana katekwa si ndio mana yake
Mwenyewe釷凱乂了為什麼我就是個多月
Kweli shem anaongea tu cuzoo

Asante kwa neno Mdogo wangu..Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya Bwana
Bwana ameniadhibu sana lakini hakuniacha nife
Nifungulieni malango ya haki nitaingia na kumshkuru Bwana![]()
ZABURI 108:17-19
Muwe na asubuhi iliyo njema kwenu mbarikiwe sana![]()