Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1950 - Ken Kutaragi anazaliwa.

Ni mfanyabiashara mashuhuri toka nchini Japan aliyeanzisha game za televisheni za " Play Station " maarufu kama PS.
44b5bb7c95bfbab0f3bab5722e49a665.jpg
12221d2166becd0328484730371f1632.jpg
3989898bf5c5b94d570ded6ab0c3c524.jpg
Ana utajiri wa Japanese Yen 500 milioni sawa na USD 6 bilioni
.....
 
Aiseee nitatoka tu mbona kiria alitoka
Ila haya mambo haya hivi Kuna ambaye hajawahi onja hata Kofi kweli
Cuzoo ndoa sio ya kuiga mpenzi sababu kiria kafanya vile na we hivyo pambana na hali yako tu utakayokutana nayo upande wako kiria ni mzima yule ndoa ya mwanzo haina hata miezi michache kaachika anamuacha kaka wa watu analialilia tu masikini kwa upendo alionao kwake ujue watu wanakosea kitu kimoja kabla hamjaoana ebu chunguzaneni kwanza mjuane mda flani mengine yafuatie kila mtu amjue mwenzie mapungufu yake

Cuzoo kwenye kupigwa hapo kila mtu ataongea lake ila mwanaume ni mwanaume tu na kupigwa hata kibao lazima ukionje
 
Cuzoo ndoa sio ya kuiga mpenzi sababu kiria kafanya vile na we hivyo pambana na hali yako tu utakayokutana nayo upande wako kiria ni mzima yule ndoa ya mwanzo haina hata miezi michache kaachika anamuacha kaka wa watu analialilia tu masikini kwa upendo alionao kwake ujue watu wanakosea kitu kimoja kabla hamjaoana ebu chunguzaneni kwanza mjuane mda flani mengine yafuatie kila mtu amjue mwenzie mapungufu yake

Cuzoo kwenye kupigwa hapo kila mtu ataongea lake ila mwanaume ni mwanaume tu na kupigwa hata kibao lazima ukionje
Kweli atii tatizo hawajuani kwa Muda mrefu wengine kwenye uchumba tu tushachezea vibao vya kutosha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom