Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1978 - Louis Saha anazaliwa.
Mshambuliaji wa zamani wa Man Utd na Ufaransa
584573e91073e5c30a23503736fe2ea8.jpg
bc7624fa20bf75d88fbd8b0fe92ba658.jpg
790a2574a50f13c4447c8a142d4110ed.jpg
Alikuwa pancha kama RVP
Alifunga goli 42 Man Utd
......
 
Wote mpo sahihi kiimani msibishane ndio maana niliandika
Kwa wasio waislamu wanaamini Mtume Muhammad ndio aliyeanzisha uislamu wakati kwa waislamu hawawamini hivyo wanaamini Uislamu ulikuwepo kabla yake yaani aliueneza tu au kuuendeleza yaani hakuanzisha kitu

Niwatakie Siku Njema
............
[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anakoroma kabisa ngoja ashtuke ghafla halaf aone upo jf unachat

Napewa divorce leo leo[emoji125] [emoji125] [emoji125]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hatutakupokea mfyuuu zako

Dah cuzoo kwani nimeua lakiniii[emoji23] [emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jitie jeuri tu

Kwani ndo mmenifukuza nyumbani au[emoji15] [emoji15]

Vumilia ndoa ujue usione wazee wetu mpaka leo wapo kwenye ndoa halaf ingia pm cuzoo
 
Back
Top Bottom