Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Mbona umewaza kipigo tu mamiiHata kipigo nikivumilie cuzoo![]()
![]()
Sa si nitakuwa mkeka
Mbona umewaza kipigo tu mamiiHata kipigo nikivumilie cuzoo![]()
![]()
Sa si nitakuwa mkeka
Morning shemejiHelooo
KaribuNimewamiss
Si unajua Kanda ya ziwa hawana masihara babyMbona umewaza kipigo tu mamii
Nzuri kabisa, za siku mbili tatu hivi

Yes WifeHubby![]()
![]()
Nakupenda mpenziYes Wife
AsanteKaribu
Pamoja sanaMmeamkaje ?
Nafikiri salama tu
Pia ahsanteni wote mliopost mawili matatu ya kuamshana asubuhi
Kwa wale wa ofisini leo mo off
Niqatakie Siku Njema
..........
Mornie shemMorning shemeji
Mapenzi ni starehe sio kukomoana hivyo na vumbi la congo na hili iweje kwa mfano hashuki unamshusha tu kilazimaNimemuelewa sana mi staki habari za vichomi kwa kweli
AiseeLeo katika Historia
1974 - Rais Richard Nixon wa Marekani huku akiwa live katika Televisheni zote nchini Marekani atangaza kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo baada ya kuandamwa na kashfa ya Watergate.
Anakuwa ni Rais wa kwanza na pekee mpaka sasa nchini Marekani kujiuzulu wadhifa huo wa Urais.
Ha haaaaa hata kwa vibokoMapenzi ni starehe sio kukomoana hivyo na vumbi la congo na hili iweje kwa mfano hashuki unamshusha tu kilazima

Me love you so muchLove you sweetheart![]()
![]()