Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1974 - Rais Richard Nixon wa Marekani huku akiwa live katika Televisheni zote nchini Marekani atangaza kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo baada ya kuandamwa na kashfa ya Watergate.

Anakuwa ni Rais wa kwanza na pekee mpaka sasa nchini Marekani kujiuzulu wadhifa huo wa Urais.
Aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom