Niajeee babu yake shunie mke wanguSwalama kabisaaaaa Rafiki kipenz
HunnieMuite kwanza

Sina neno zaidi ya kusema ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeenSitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya Bwana
Bwana ameniadhibu sana lakini hakuniacha nife
Nifungulieni malango ya haki nitaingia na kumshkuru Bwana
ZABURI 108:17-19
Muwe na asubuhi iliyo njema kwenu mbarikiwe sana![]()
Nipo hapa shem jamanShuny shemu sikuoni
SwtyHunnie![]()
Mzee mzima ?Aya banaa
Madame S
Wife huyoSitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya Bwana
Bwana ameniadhibu sana lakini hakuniacha nife
Nifungulieni malango ya haki nitaingia na kumshkuru Bwana![]()
ZABURI 108:17-19
Muwe na asubuhi iliyo njema kwenu mbarikiwe sana![]()
Unaona mambo lakiniSina neno zaidi ya kusema ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Hajambo kabisaWazima kabisa, shemeji yangu linamo hajambo
Babu sijui kamteka nani jaman kawa adimuNiajeee babu yake shunie mke wangu
Ametamka yeyeLiverpool wanaweza kumkosa philipe, anataka kwenda Barcelona
Barikiwa sana shem wangu mimi apaSina neno zaidi ya kusema ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Morning my love nakumiss tu mimi jamanSwty