Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
[emoji524] Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya Bwana
Bwana ameniadhibu sana lakini hakuniacha nife
Nifungulieni malango ya haki nitaingia na kumshkuru Bwana [emoji524]
ZABURI 108:17-19
Muwe na asubuhi iliyo njema kwenu mbarikiwe sana [emoji120]
Bwana ameniadhibu sana lakini hakuniacha nife
Nifungulieni malango ya haki nitaingia na kumshkuru Bwana [emoji524]
ZABURI 108:17-19
Muwe na asubuhi iliyo njema kwenu mbarikiwe sana [emoji120]