Makapuku Forum

Makapuku Forum

7a0806d04c4c5a81f360f37d8d2d935e.jpg
88a18978c6a8d73ba793a6ec0511ca2f.jpg
07321c0000f2a47011fdfa1022319f3b.jpg

Hakuna kitu alichoniudhi kama kumuuza Chicharito
.....
Msamehe tu
 
Cuzoo ndoa sio ya kuiga mpenzi sababu kiria kafanya vile na we hivyo pambana na hali yako tu utakayokutana nayo upande wako kiria ni mzima yule ndoa ya mwanzo haina hata miezi michache kaachika anamuacha kaka wa watu analialilia tu masikini kwa upendo alionao kwake ujue watu wanakosea kitu kimoja kabla hamjaoana ebu chunguzaneni kwanza mjuane mda flani mengine yafuatie kila mtu amjue mwenzie mapungufu yake

Cuzoo kwenye kupigwa hapo kila mtu ataongea lake ila mwanaume ni mwanaume tu na kupigwa hata kibao lazima ukionje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom