Makapuku Forum

Makapuku Forum

Alianzisha uislam mwaka 640
Pia alikuwa mfanyabiashara mkubwa so kupitia biashara zake aliisambaza pia imani yake kwa kuwa alizitembelea nchi mbalimbali

Una uhakika?! Km hujui nyamaza tu
Wote mpo sahihi kiimani msibishane ndio maana niliandika
Kwa wasio waislamu wanaamini Mtume Muhammad ndio aliyeanzisha uislamu wakati kwa waislamu hawawamini hivyo wanaamini Uislamu ulikuwepo kabla yake yaani aliueneza tu au kuuendeleza yaani hakuanzisha kitu

Niwatakie Siku Njema
............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom