Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Kalala kabisa![]()




anakoroma kabisa ngoja ashtuke ghafla halaf aone upo jf unachat
Kalala kabisa![]()




anakoroma kabisa ngoja ashtuke ghafla halaf aone upo jf unachatNapewa divorce leo leoanakoroma kabisa ngoja ashtuke ghafla halaf aone upo jf unachat

Leo katika Historia
1974 - Rais Richard Nixon wa Marekani huku akiwa live katika Televisheni zote nchini Marekani atangaza kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo baada ya kuandamwa na kashfa ya Watergate.
Anakuwa ni Rais wa kwanza na pekee mpaka sasa nchini Marekani kujiuzulu wadhifa huo wa Urais.
Nzainuka vyedi.... Haya nzeze na huko kaya?Niwedi angizeiwe Babu uinuke zeze
Ntana duNzainuka vyedi.... Haya nzeze na huko kaya?
Nvitana mjukuu wanguNtana du
Leo katika Historia
1990 - Iraq chini ya Saddam Hussein yaivamia Kuwait na hali hiyo ilipelekea kuzuka kwa vita vya Ghuba dhidi ya Marekani.
Ahsante sana shem ShunieSitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya Bwana
Bwana ameniadhibu sana lakini hakuniacha nife
Nifungulieni malango ya haki nitaingia na kumshkuru Bwana![]()
ZABURI 108:17-19
Muwe na asubuhi iliyo njema kwenu mbarikiwe sana![]()
Vumilia ndoa ujue usione wazee wetu mpaka leo wapo kwenye ndoa halaf ingia pm cuzooKwani ndo mmenifukuza nyumbani au![]()
![]()
Barikiwa na wewe shem waneAhsante sana shem Shunie
Ubarikiwe

Itakujieni jioniPicha tafadhali shem
nyie mtu na mkewe ni wachokozi huyo ndio mtoto wa binamu obe na mpendwa wake

Hata kipigo nikivumilie cuzooVumilia ndoa ujue usione wazee wetu mpaka leo wapo kwenye ndoa halaf ingia pm cuzoo
AhsanteJambo jema sana
Amezitamani pesa za mwenzakeKasema yeye ndio