Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1974 - Rais Richard Nixon wa Marekani huku akiwa live katika Televisheni zote nchini Marekani atangaza kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo baada ya kuandamwa na kashfa ya Watergate.

Anakuwa ni Rais wa kwanza na pekee mpaka sasa nchini Marekani kujiuzulu wadhifa huo wa Urais.
8fa0e35e72d9dc16ce8e1bceda842a1d.jpg
0f45e8f75631a1ec1f8d2f1fbec14851.jpg

Huu ndio uwajibikaji sio bongo mtu ana kashfa 50 km Bashite ila anadunda tu bila soni labda shauri ya njaa
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom