Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Leo katika Historia
2010 - Mafuriko makubwa yatokea huko China katika miji ya Gansu na kuua takribani watu 1400.
.....
Leo katika Historia
2010 - Mafuriko makubwa yatokea huko China katika miji ya Gansu na kuua takribani watu 1400.
Kipigo kikizidi unamkalisha vikao me mwenyewe na mambo ya kupigwa pigwa tofauti kabisa unipige endapo kuna kosa kweli nimefanya adhabu yake nakua sina la kusema lakini kupigwa pigwa tu hapanaHata kipigo nikivumilie cuzoo![]()
![]()
Sa si nitakuwa mkeka
Wote mpo sahihi kiimani msibishane ndio maana niliandika
Kwa wasio waislamu wanaamini Mtume Muhammad ndio aliyeanzisha uislamu wakati kwa waislamu hawawamini hivyo wanaamini Uislamu ulikuwepo kabla yake yaani aliueneza tu au kuuendeleza yaani hakuanzisha kitu
Niwatakie Siku Njema
............
I'm fine Madame S
Hapo kwenye kipigo hata mimi uzalendo utanishindaKipigo kikizidi unamkalisha vikao me mwenyewe na mambo ya kupigwa pigwa tofauti kabisa unipige endapo kuna kosa kweli nimefanya adhabu yake nakua sina la kusema lakini kupigwa pigwa tu hapana

Unamaanisha Kawasaki motorcycleIla pikipiki ina raha yake jamani (hapa simaanishi bodaboda)
Hello my darlingHelooo
Hunizidi mimiNimewamiss
Unajua cuzoo kuna kosa unaweza fanya yaan hata ukipigwa unajua kabisa nilistahili hii adhabu ya kipigo lakini sio mara kwa mara tupigane hapana jamaanHapo kwenye kipigo hata mimi uzalendo utanishinda![]()
Tuipe episode 3 tutakuwa tumeshamjua Mr XHii story nayo ya mr x kuna mda inachanganya tuu mr x ni mzee mwinchande kweliii Baba D asante kwa story![]()
Leo katika Historia
1951 - Louis Van Gaal anazaliwa.
Ni kocha wa zamani wa Barcelona, Bayern Munich na Man Utd
Karibu sana ankaliNa sasa ni leo katika historia kwa hisani ya 8 8
Karibuni sana na kama kawaida utakuwa nami Jimena Jimenes
Aisee hata anifumanie kipigo hapana achague adhabu nyingine kwa kweli.Unajua cuzoo kuna kosa unaweza fanya yaan hata ukipigwa unajua kabisa nilistahili hii adhabu ya kipigo lakini sio mara kwa mara tupigane hapana jamaan
Mmeamkaje ?
Nafikiri salama tu
Pia ahsanteni wote mliopost mawili matatu ya kuamshana asubuhi
Kwa wale wa ofisini leo mo off
Niqatakie Siku Njema
..........

Kweli shemTuipe episode 3 tutakuwa tumeshamjua Mr X
UwajibikajiLeo katika Historia
1974 - Rais Richard Nixon wa Marekani huku akiwa live katika Televisheni zote nchini Marekani atangaza kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo baada ya kuandamwa na kashfa ya Watergate.
Anakuwa ni Rais wa kwanza na pekee mpaka sasa nchini Marekani kujiuzulu wadhifa huo wa Urais.
Mfyuui unaongea tu mama ndio umeshaingia kutoka hakunaAisee hata anifumanie kipigo hapana achague adhabu nyingine kwa kweli.