Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Mpigie Nyagei au Obe watakuwa wanajua aliko..Hapana Tanga hana shamba
Mpigie Nyagei au Obe watakuwa wanajua aliko..Hapana Tanga hana shamba
Mchugaji akisema fungua kitabu na Nabii Habakuk..
Walahi hadi neno linaisha mtu anaperuzi karatasi tuu..![]()







unajiuliza huku unatafuta lipo agano jipya au la kale
Ebu ngoja kwanza T niendelee kumtafutaMpigie Nyagei au Obe watakuwa wanajua aliko..
Unamtafute je sasa hapa jukwaaniEbu ngoja kwanza T niendelee kumtafuta


Nop sio hapa jukwaani ebu ngoja niendelee kumtafuta kwanza badaeUnamtafute je sasa hapa jukwaani![]()
Hahahaaa....nouma.unajiuliza huku unatafuta lipo agano jipya au la kale


Shemela za asubuhiDada nakuona na babu yako jaman msalimie tu
Niambie mama DBaba jj
Ngoja tuanze kufuatilia mjukuu wangu...... Mara ya mwisho mliachana wapi?Namtafuta Baba D wangu jamaan simuoni sina taarifa zozote akija naombeni mumwambie mkewe namtafuta nimemmiss sana na ninampenda sana lee wangu me shunie![]()
Baba D leo sijamuona kabisaBaba jj
Na yeye ana moyo.... Hivi unavyimfanyia mpaka mtoto wa watu anataka kukufwa kwa ajili yako.Naona sakayo amekuja na babu then wameondoka na babu...
Wewe muache tuu
Leo katika Historia
1985 - Antonia Valencia anazaliwa.
Ni winga/ beki wa kulia wa klabu ya Man Utd na Timu ya Taifa ya Ecuador.
AmenHeri walio masikini wa roho, maana ufalme wa mbinguni ni wao
Heri wenye huzuni maana hao watairithi nchi
Heri wenye njaa na kiu ya haki maana hao watashibishwa
Heri wenye rehema maana hao watapata rehema
Heri wenye moyo safi mana hao watamwona Mungu
Heri wapatanishi mana hao wataitwa wana wa Mungu
Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki maana ufalme wa mbingu ni wao
MATHAYO:5:3:10
Mbarikiwe sana muwe na asubuhi iliyo njema kwenu![]()
Alikoenda jana nguo zake zitiwa ndani ya majiBaba D wangu jamaan mbona haupounataka nikufwe au umeenda wapi lakini mkeo sijui kitu ebu fanya urudi tu nakumiss jamaan lee wangu
![]()

Baba D uko wapi jamaan lakini nakumiss mimiebu niambie ulipo tu nijue roho yangu itulie nikikufwa ujue utapata kesi

Asante kwa nukuu mkuu transcendNUKUU YA LEO
Change will not come if we wait for some other person or some other time. We are the ones we've been waiting for. We are the change that we seek.
Mabadiliko hayatokuja kama tukisubiri watu wengine au muda mwingine, sisi ndio tumekuwa tukisubiriwa, sisi ndio mabadiliko yaliyokuwa yanatafutwa
Haya maneno yamewahi kutamkwa na mwanasheria, mwalimu wa sheria na Rais wa 44 wa Taifa la marekani Bw. Barack Hussein Obama.
![]()
Barack Obama alizaliwa tar. Kama ya leo 4/8/1961 Katika mji Honolulu-Hawaii miaka 2 baada ya kuwa jimbo la 50 kuwa ndani ya muungano wa majimbo ya marekani.
Barack obama amekuwa rais wa kwanza mmarekani mweusi kukaa na kufanya kazi ndani ya ofisi maarufu ya oval office na white house kwa ujumla.
Obama amezaliwa na mama mzungu na baba mwafrika kutoka kenya barack obama sr.
Obama atakumbukwa kwa kuwa na utawala wenye mafanikio na kurudisha taifa la marekani katika nafasi yake baada ya kuporomoka kiuchumi kutokana na vita vya mashariki ya kati.
![]()
Utawala wa obama umefanya mengi katika ulinzi wa marekani ikiwa ni pamoja na kumuuwa mtu walieamini ni gaidi no 1 duniani Osama bin Laden.
Obama amechukuwa Tuzo ya Nobel mwaka 2009 "peace prize" kwa kutengeneza na kujenga diplomasia ya kimataifa na ulimwengu kwa ujumla.
Obama ana mke mmoja ( michelle ) na mabinti 2 ( malia na sasha) .
Obama alikuwa role model wangu toka nimemfahamu hadi leo hasa namna ya kudeliver speech na audience confidence. The man is good in every aspect you know in politics..
Out of politics; he's also a caring dady of two applaudable daugheters..
![]()
Kuna mengi ya kuandika kuhusu obama lakini muda hautoshi....
Happy born day BO
Kweli hii ni wiki ya nanenaneNjema shemeji leo nipo natembelea mabanda ya nane nane
Taarifa umetoa wapi na wapi, tuanzie hapo kwanzaNamtafuta Baba D wangu jamaan simuoni sina taarifa zozote akija naombeni mumwambie mkewe namtafuta nimemmiss sana na ninampenda sana lee wangu me shunie![]()
Simu yake haipatikani?Nop sio hapa jukwaani ebu ngoja niendelee kumtafuta kwanza badae
Khoo!!Khii