Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1985 - Antonia Valencia anazaliwa.
Ni winga/ beki wa kulia wa klabu ya Man Utd na Timu ya Taifa ya Ecuador.
be0f694efab211e9ca6cc392ac4516d8.jpg
0a4bd2ecfe6bffbcbc8132e8b344877c.jpg
789434bfc6b108149d7a125413a75278.jpg
Mzee wa kuchomekea jezi dk 90
Nahodha wa Ecuador na msaidizi wa Carrick
Mmoja kati ya wachezaji wapole hana makuu ndani na nje ya uwanja
Hupigwa red card za makosa ya kimichezo tu il siyo za ukorofi
Babu SAF alimlazimisha kuvaa # 7 akavaa kwa msimu mmoja tu kisha kiungwana akairudisha kwa kumwambia ni jezi nzito kwake hivyo haweI kuubeba mzigo
.........
 
Heri walio masikini wa roho, maana ufalme wa mbinguni ni wao

Heri wenye huzuni maana hao watairithi nchi

Heri wenye njaa na kiu ya haki maana hao watashibishwa

Heri wenye rehema maana hao watapata rehema

Heri wenye moyo safi mana hao watamwona Mungu

Heri wapatanishi mana hao wataitwa wana wa Mungu

Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki maana ufalme wa mbingu ni wao

MATHAYO:5:3:10

Mbarikiwe sana muwe na asubuhi iliyo njema kwenu
Amen
 
NUKUU YA LEO

Change will not come if we wait for some other person or some other time. We are the ones we've been waiting for. We are the change that we seek.

Mabadiliko hayatokuja kama tukisubiri watu wengine au muda mwingine, sisi ndio tumekuwa tukisubiriwa, sisi ndio mabadiliko yaliyokuwa yanatafutwa

Haya maneno yamewahi kutamkwa na mwanasheria, mwalimu wa sheria na Rais wa 44 wa Taifa la marekani Bw. Barack Hussein Obama.
18617b615d424b9f1c28a9f23855294b.jpg

Barack Obama alizaliwa tar. Kama ya leo 4/8/1961 Katika mji Honolulu-Hawaii miaka 2 baada ya kuwa jimbo la 50 kuwa ndani ya muungano wa majimbo ya marekani.

Barack obama amekuwa rais wa kwanza mmarekani mweusi kukaa na kufanya kazi ndani ya ofisi maarufu ya oval office na white house kwa ujumla.

Obama amezaliwa na mama mzungu na baba mwafrika kutoka kenya barack obama sr.

Obama atakumbukwa kwa kuwa na utawala wenye mafanikio na kurudisha taifa la marekani katika nafasi yake baada ya kuporomoka kiuchumi kutokana na vita vya mashariki ya kati.
ec121d287bd1f1646d9393728ad97865.jpg

Utawala wa obama umefanya mengi katika ulinzi wa marekani ikiwa ni pamoja na kumuuwa mtu walieamini ni gaidi no 1 duniani Osama bin Laden.

Obama amechukuwa Tuzo ya Nobel mwaka 2009 "peace prize" kwa kutengeneza na kujenga diplomasia ya kimataifa na ulimwengu kwa ujumla.

Obama ana mke mmoja ( michelle ) na mabinti 2 ( malia na sasha) .


Obama alikuwa role model wangu toka nimemfahamu hadi leo hasa namna ya kudeliver speech na audience confidence. The man is good in every aspect you know in politics..

Out of politics; he's also a caring dady of two applaudable daugheters..
263bf8155ba54d59b3c1f4dfaa54afad.jpg

Kuna mengi ya kuandika kuhusu obama lakini muda hautoshi....

Happy born day BO
Asante kwa nukuu mkuu transcend
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom