Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nisharudi kuisoma shem...![]()
kwa nini
Sio vizuri T usirudie hivyo siku nyingine shem we ni mkristoNisharudi kuisoma shem...
Nilijikuta tuu nimesema amin ila kumbe sijasoma
Tena mkristo full-blooded..Sio vizuri T usirudie hivyo siku nyingine shem we ni mkristo
Kafungue uzi mmu/ matangazo madogo madogoNamtafuta Baba D wangu jamaan simuoni sina taarifa zozote akija naombeni mumwambie mkewe namtafuta nimemmiss sana na ninampenda sana lee wangu me shunie![]()
Vizuri sana siku nyingine usifanye hivyo TTena mkristo full-blooded..
Mpaka nikishindwa kumpata leo na kesho namfungulia uzi hamna shida TKafungue uzi mmu/ matangazo madogo madogo
Afu ni mathayo 5: 3-10 na sio mathayo 5:3:10Vizuri sana siku nyingine usifanye hivyo T
Hahaaa..Mpaka nikishindwa kumpata leo na kesho namfungulia uzi hamna shida T
Naona sakayo amekuja na babu then wameondoka na babu...Mpaka nikishindwa kumpata leo na kesho namfungulia uzi hamna shida T
Tofauti labda nilivyoandika hizo nukta lakini ni sawa tuAfu ni mathayo 5: 3-10 na sio mathayo 5:3:10
Asante kwa neno
Leokatika Historia
1974 - Killy Gonzalez anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa klabu za Valencia, Inter Milan na Timu ya Taifa ya Argentina.
Kuna wengine wageni wa bible..Tofauti labda nilivyoandika hizo nukta lakini ni sawa tu
Upole wangu sababu ya kutomuona Baba D halaf sina taarifa yeyote ujue na wasi wasi juu yake alipo yupo salama au vipiHahaaa..
Mbona umekuwa mpole sasa
MmhhNaona sakayo amekuja na babu then wameondoka na babu...
Wewe muache tuu
Atakuwa ameenda Tanga kuvuna..Upole wangu sababu ya kutomuona Baba D halaf sina taarifa yeyote ujue na wasi wasi juu yake alipo yupo salama au vipi
Ahahaha ila kweli wengine bible mpaka wakienda kanisani jumapiliKuna wengine wageni wa bible..
Watapotea buree
Hapana Tanga hana shambaAtakuwa ameenda Tanga kuvuna..
Be humble..
Mchugaji akisema fungua kitabu na Nabii Habakuk..Ahahaha ila kweli wengine bible mpaka wakienda kanisani jumapili

