Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia


1936 - Waziri Mkuu wa Ugiriki, Ioannis Metaxas anavunja Bunge na Kuvunja Katiba pia kwa kutoitambua, na kuanza utawala wa Kidikteta ktk Nchi hiyo.

b3fc3712bf289aac2b4867e6d11ea4b2.jpg
8e6332276453ab59f0b8cd421de9ea97.jpg
92430777b0d3bea9c5fea9e811d67d62.jpg
Baada ya kuvunja katiba akaanza kutawala kifashisti akifuatisha sera za role model wake(Mussolin)
Alifariki Januari 1941 na ukawa mwisho wa utawala wake.....Wagiriki wakisema Mungu ni mkubwa wala sio vibaya !!!
.....
 
Leo katika Historia

1984 - Nchi ya Upper Volta yabadili jina lake na kuanza kutambulika kama Burkina Faso.
afceacf5990c8b58c40833fd388c7d75.jpg
8c256a8bb1cdcb6ac1e9476672ed866e.jpg
e21ddba988ffea48af616f6f02f86bc4.jpg
834509fedcd5dadf9589c4817ba4e246.jpg
Mabadiliko yaliongozwa na Che Guevarra wa Afrika Thomas Sankara
Hakuishia kubadili tu jina bali pia kubadili maisha ya Wabukinabe kutoka umaskini hadi kukaribia nchi ya asali na maziwa ila mwisho wa siku akauawa baada ya kutawala kwa miaka mochache tu.........akili zetu Waafrika !!!
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom