shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nzuri shemeji, za Sugu cityZa uzima lakini shemeji
Nzuri shemeji, za Sugu cityZa uzima lakini shemeji
Leo katika Historia
1936 - Waziri Mkuu wa Ugiriki, Ioannis Metaxas anavunja Bunge na Kuvunja Katiba pia kwa kutoitambua, na kuanza utawala wa Kidikteta ktk Nchi hiyo.
Siweziiii kukukimbiza babuNahisi kama unanikimbiza bhana...
Jamaaaniii babu... Unataka nilie auWivu sina ila roho inauma...
Leo katika Historia
1947 - Mahakama Kuu ya Japan yaanzishwa rasmi.
Kuna visiki vingine mwanaume usipojikwaa jichunguze.![]()
![]()
Punguza ukware mkuu
Utakuja kapotea
Hahaha sawa mkuuKuna visiki vingine mwanaume usipojikwaa jichunguze.
Aisee![]()
Baada ya kuvunja katiba akaanza kutawala kifashisti akifuatisha sera za role model wake(Mussolin)![]()
Alifariki Januari 1941 na ukawa mwisho wa utawala wake.....Wagiriki wakisema Mungu ni mkubwa wala sio vibaya !!!
.....
Naskia hata zile fedha za escrow hazitoshi mshahara wake wa wiki!ngoja mafundi waje...Hivi hizo Pound alizouzwa Neymar Kibongo bongo ni sawa na Sh Ngap?
Asubuhi njema..
Leo katika Historia
1958 - Chati ya muziki ya " Billboard hot 100 " yaanza rasmi huko Marekani.
Leo katika Historia
1977 - Rais Richard Nixon wa Marekani anasaini uanzishwaji wa Wizara ya Nishati nchini humo.
Dada nakuona na babu yako jaman msalimie tuJamaaaniii babu... Unataka nilie au
Kaka za kwakoZa uzima lakini shemeji
Baba jj
Kho khoNahisi kama unanikimbiza bhana...
Wivu sina ila roho inauma...
Abeeeeeh geni
HahahaDada nakuona na babu yako jaman msalimie tu
Leo katika Historia
1984 - Nchi ya Upper Volta yabadili jina lake na kuanza kutambulika kama Burkina Faso.