Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Unofficial Weekend

Unajua kabisa sitachoka kukuuliza u khali gani Kapuku mheshimika, na kama kawaida ulizo langu sio lile la swali bali ni la maelezo, majibu yanajulikana, yakiwa mazuri sawa yakiwa tofauti naypo ni sawa na kaa ukijua kukaa kimya nako ni jibu. Ni furaha sana kukuona hapa maana bila wewe KF isingekuwa jukwaa bora kabisa hapa JF.

Ulishwahi kujiuliza na kujiswalisha bila kupewa maswali, well, labda nakuchanganya na siruhusiwi kufanya hivyo maana yapo mengi yanayokuchanganya na maandishi yangu hayapaswi kuwa moja wapo ya vingi vinavyokuchanganya. naandika vitu rahisi rahisi tu na nikimaliza natoa shukrani kwa wadau waliolichangamsha Jukwa siku ya leo, mtaasisi mwenzangu Nyagei na Linamo asanteni kwa kutuchangamsha, siwasahau wadau wote ambao uwepo wenu hapa unalifanya Jukwaa hili kuwa sehemu bora kabisa. Niseme nini kingine.

Muziki sasa; unaweza kujiuliza kwanini jana ilikuwa vile tofauti na juzi wakati ambapo tunaishi leo na kuipanga kesho! shangaa hata wewe maana nilichoandika usikurupuke kuwa sieleweki, jipe muda na utajua ukikumbuka mabaya ya jana utajirekebisha na kama kuna lililokuliza hakika hutopenda litokee tena ama kwako au kwa mwingine na zaidi kukumbuka mambaya ya jana huwa haisaidii kwani utabaki kuumia tu. Ukitaka kuikumbuka jana usiisahau na juzi maana juzi ilikuwa ya furaha. Tuburudike na vijana wa enzi hizo waliojitwalia tuzo ya Grammy na nyingine nyingi sana.



Muziki wa wadhamini na wapendanao utakujia hivi punde
 
1/Dan Brown
431dc002967a55d70ae2e99b4e1f481c.jpg
d5cd265df7af458a4e0492012bdbfb4a.jpg

Alizaliwa Agost/Juni 22 mwaka 1964
Huyu jamaa ni habari nyingine kabisa kwa utunI wa vitabu
Yaani jamaa anaandika sura fupifupi ila zenye utamu balaa(short chapters) na mpangilio wa kueleweka
f303ca5a8647eb524c13cb5231871a9e.jpg
abe39c497d4363aa288bd04428daf695.jpg
bfdd6969181eca1adca15c88041398b2.jpg

Sacrilege ndo kitabu chake cha kueleweka zaidi
Ila kaandika vitabu kibao vya fiction kuhusu mauaji n.k
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
..........
 
Muziki: Unofficial Weekend

Unajua kabisa sitachoka kukuuliza u khali gani Kapuku mheshimika, na kama kawaida ulizo langu sio lile la swali bali ni la maelezo, majibu yanajulikana, yakiwa mazuri sawa yakiwa tofauti naypo ni sawa na kaa ukijua kukaa kimya nako ni jibu. Ni furaha sana kukuona hapa maana bila wewe KF isingekuwa jukwaa bora kabisa hapa JF.

Ulishwahi kujiuliza na kujiswalisha bila kupewa maswali, well, labda nakuchanganya na siruhusiwi kufanya hivyo maana yapo mengi yanayokuchanganya na maandishi yangu hayapaswi kuwa moja wapo ya vingi vinavyokuchanganya. naandika vitu rahisi rahisi tu na nikimaliza natoa shukrani kwa wadau waliolichangamsha Jukwa siku ya leo, mtaasisi mwenzangu Nyagei na Linamo asanteni kwa kutuchangamsha, siwasahau wadau wote ambao uwepo wenu hapa unalifanya Jukwaa hili kuwa sehemu bora kabisa. Niseme nini kingine.

Muziki sasa; unaweza kujiuliza kwanini jana ilikuwa vile tofauti na juzi wakati ambapo tunaishi leo na kuipanga kesho! shangaa hata wewe maana nilichoandika usikurupuke kuwa sieleweki, jipe muda na utajua ukikumbuka mabaya ya jana utajirekebisha na kama kuna lililokuliza hakika hutopenda litokee tena ama kwako au kwa mwingine na zaidi kukumbuka mambaya ya jana huwa haisaidii kwani utabaki kuumia tu. Ukitaka kuikumbuka jana usiisahau na juzi maana juzi ilikuwa ya furaha. Tuburudike na vijana wa enzi hizo waliojitwalia tuzo ya Grammy na nyingine nyingi sana.



Muziki wa wadhamini na wapendanao utakujia hivi punde

Asante mpendwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom