Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aisee imebidi nijichekee tuu
4/Ostankino Tower
f7b8f04b25860aff03bdfde92852593b.jpg
eb823cad267903b595e1694b8de5cae7.jpg

Huu ndo mnara mrefu zbaidi barani Ulaya

Upo kule kwa "Kumsamehe gaidi ni kazi ya Mungu ila kumpeleka gaidi kwa Mungu ni kazi ya Putin"
Sasa ole wao ISIS wakaulipue kitakachowapata watajua webyewe tunaweza tukaokota hadi bongo vichwa vilivyojaa ndevu kama kambale
Upo jijini Moscnow nchini Urusi
Ulianza kujengwa mwaka 1963 na kukamilika ujenzi mwaka 1967
Unatumika kwa ajili ya kurushia matangazo ya luninga na radio,kutizama jiji la Moscow na utalii
Pia ndo jengo refu zaidi barani Ulayaa na kwa dunia unakamata # 11 ukipambanishwa na majengo yote

Una urefu wa mita 1,772
.......
 
Nawashukuruni mnoo kwa umoja wenu jamanii..

Lee Asante natambua umuhimu wako kwangu, Shunie wewe ndo bega langu wakati wa kulia kwangu... Unajua venye Nakupenda mdogo wangu.... Tumoo na shululu natambua umuhimu wenu mpaka nikinuna mwajua... Nyagei you're the best, we ndo mlinzi wangu.... Mzeewakungoa na Bitoz nashukuru kwa kampani yenu na kujali pia...

Husna na JJ natambua uwepo wenu kuniombea mama mchungaji popote ulipo Nakupenda mamangu.... Sala zako zinafika kwa wakati!!!!

T wangu sio kwamba nimekusahau... Wewe ni wangu tuu.. Mr Obe Ubarikiwe mnoo jamanii jana nimepata nyimbo zakooo.... Wana kapuku kwa ujumla... Nawapenda...

Till next time....

Muwe na jioni muruaaaa
Thank you mumie!
 
3/CN Tower
6a5f42318fbc9e78267b188422b0bc17.jpg
1ab896c30d49819a986465dac038fc83.jpg

Umesimama huko Toronto nchi Canada

Ulishikilia rekodi ya mnara/jengo refu zaidi duniani kwa miaka takribani 32 hadi pale ilipofika mwaka 2007 rekodi yake ikafa kifo cha mende
Uojenzi wake ulianza mwaka 1973 na kukamiltika mwaka 1976...mnara huu upmejengwa kwenye njia ya zamani ya. Treni huko Toronto
Pia upo karibu na machimbo. Ya dhahabu ya Ontaklril hapohapo Toronto
Ni maalimu kwa ajili ya kurushia matangazo ya luninga na Radio ila pia unatumika kibiashara maana kuna migahawa kibao imejengwa na wartalii hufika kwa 28!&8

Un urefu wa futi 1,815
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom