Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Sawaaaa
Sawaaaa
Wewe namba sita kwenye listHaswaaaa.... ...Unajua mimi sinaga Wajukuu wajingawajinga......Wanataka wakuzunguke hao akina Obe etal
Ila kaa ukijua T umejua kunitesea sakayo aisee siku nyingine usimfanyie hivyoSasa kama simu yenyewe ilikuwa haipatikani....pm ndio zingefika sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaani na wewe unakubali?...... Wakati Mimi kila siku napiga debe ndoa yako idumu.Kweliiii kabisaaa
Wa kwako na kunyongaa ananyongaa
PoaaaDada umesikia ukule tu
Nina kibano chake .....baadae namuweka kikaangoniiii shubamitiiiiiiiiIla kaa ukijua T umejua kunitesea sakayo aisee siku nyingine usimfanyie hivyo
Nani huyooHalaf kuna yule rafiki yetu jana aliingia humu alikuulizia nilimsahau badae nikamkumbuka
Ebhuu pishaaaYaaani na wewe unakubali?...... Wakati Mimi kila siku napiga debe ndoa yako idumu.
Sawaaaa
Hahahaaaaa waniachie baby wangu MondrayWa humu nawajuaaa wakiona wenzaoo baby baby roho juuu
Make wengine wana wazeee wanatamani motomoto kama mond
Weeeee mondray usimtesaaa mrembo wetuu
Yaaani mjukuu wangu huyu ni kivuruge kwelikweliAhahaha yaan nyie
Mmmmh
Ndo nimeshamkamatiaKamatiaaa mama
Yaani we acha tuuuleo halali atakesha jf ila t ujue we sio mtu mzuri kabisa kunitesea dada angu kila mda anarudia kusoma pm huko
Ntakusaidiaa kumnyoosha kwa makofi kumuwekaa sawaaaNdo nimeshamkamatia
Alituomba tuwe dada zake tulikutana nae kwenye ule uzi niliokuandikia kipindi kileNani huyoo