Makapuku Forum

Makapuku Forum

6/Milad Tower
3baec729f0550afa46f3c5639a373b75.jpg
3bc2a3713b5bf28a88b558968b3fc281.jpg

Nauzungumzia mnara na siyo mjomba wa bongo aitwaye Millard Ayo
Mnara huu Waarabu hupendelea zaidi kuuita Tehran Tower
Unapatikana jijini Tehran nchini Iran.....hawa jamaa wapo vizuri kiteknolojia
Mnara huu una matumizi mbalimbali,hutumika kurushia natangazo ya radio na lunnga,hutumika kwa a jili ta biasgara yaani migahawa n bao imejengwa hapo kuwahudumia watu pia ndo chanzo cha utalii jijini Tehran ....twendeni tukatalii tusiogope mabomu
Ulianha ujengwa nwaka 2000 na kukamilika ilipofika mwaka 2009 japokuwa ulianza kutumika mwaka 2007

Una urefu wa futi 1,427
.....................................
Zitaendelea baadaye
 
8/Tianjin Radio & Television Tower
77fd72790a42cbbe400105c2cad2a81a.jpg
89b4bb20e1acc2a6b9ab09ded1c0a727.jpg

Wachina bhana wanaendelea kutamba tu kama kawaida yao labda kweye list y watu wenye macho makubwa tu ndo hawatakuwepo !!! Jamaa wanakaribia kuiebdesha dunia
Huunimnara mwingine wa mawasiliana(kurushia matangazo) ya luninga na Radio huko nchini China
Umehengwa mwaka 1991 huko Teinjin na kuliangaza jiji zima
Ujenzi wako uligharimu USD 45 Milion
Theluthi mbili ya mnara ni observation pod ambayo inaukubwawa mita za mraba 253

Una urefu wa futi 1,362
.......
 
6/Milad Tower
3baec729f0550afa46f3c5639a373b75.jpg
3bc2a3713b5bf28a88b558968b3fc281.jpg

Nauzungumzia mnara na siyo mjomba wa bongo aitwaye Millard Ayo
Mnara huu Waarabu hupendelea zaidi kuuita Tehran Tower
Unapatikana jijini Tehran nchini Iran.....hawa jamaa wapo vizuri kiteknolojia
Mnara huu una matumizi mbalimbali,hutumika kurushia natangazo ya radio na lunnga,hutumika kwa a jili ta biasgara yaani migahawa n bao imejengwa hapo kuwahudumia watu pia ndo chanzo cha utalii jijini Tehran ....twendeni tukatalii tusiogope mabomu
Ulianha ujengwa nwaka 2000 na kukamilika ilipofika mwaka 2009 japokuwa ulianza kutumika mwaka 2007

Una urefu wa mita 1,427
.....................................
Zitaendelea baadaye
Sawa mkuu
 
Ahsantee Madengee tuko pamoja twa@ubirii..
Hivi wanazijengaje hz mamboo..
Cc Shululu
6/Milad Tower
3baec729f0550afa46f3c5639a373b75.jpg
3bc2a3713b5bf28a88b558968b3fc281.jpg

Nauzungumzia mnara na siyo mjomba wa bongo aitwaye Millard Ayo
Mnara huu Waarabu hupendelea zaidi kuuita Tehran Tower
Unapatikana jijini Tehran nchini Iran.....hawa jamaa wapo vizuri kiteknolojia
Mnara huu una matumizi mbalimbali,hutumika kurushia natangazo ya radio na lunnga,hutumika kwa a jili ta biasgara yaani migahawa n bao imejengwa hapo kuwahudumia watu pia ndo chanzo cha utalii jijini Tehran ....twendeni tukatalii tusiogope mabomu
Ulianha ujengwa nwaka 2000 na kukamilika ilipofika mwaka 2009 japokuwa ulianza kutumika mwaka 2007

Una urefu wa mita 1,427
.....................................
Zitaendelea baadaye
 
Nawashukuruni mnoo kwa umoja wenu jamanii..

Lee Asante natambua umuhimu wako kwangu, Shunie wewe ndo bega langu wakati wa kulia kwangu... Unajua venye Nakupenda mdogo wangu.... Tumoo na shululu natambua umuhimu wenu mpaka nikinuna mwajua... Nyagei you're the best, we ndo mlinzi wangu.... Mzeewakungoa na Bitoz nashukuru kwa kampani yenu na kujali pia...

Husna na JJ natambua uwepo wenu kuniombea mama mchungaji popote ulipo Nakupenda mamangu.... Sala zako zinafika kwa wakati!!!!

T wangu sio kwamba nimekusahau... Wewe ni wangu tuu.. Mr Obe Ubarikiwe mnoo jamanii jana nimepata nyimbo zakooo.... Wana kapuku kwa ujumla... Nawapenda...

Till next time....

Muwe na jioni muruaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom