Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi ulisema list yako ndo yangu ..??

Maana kwa sasa list yako hiko hivii

649228d83c612f59d9da8fdba56fb34d.jpg


Tumuongeze nan hapo ??
 
....yaani unamsifu mtu ambaye anakuwa mwaminifu kwa mtu mmoja tu? Lol, kimaadili timilifu ukiwa mwaminifu kwa mtu mmoja huwezi kuwa mwaminifu.

Kuwa mwaminifu ni lazima uwe mwaminifu kwa wengi..

Serious Note: Haya maneno ya juu sijaandika mimi, msijenipakazia kwa la habibti wangu. simu iko nachaji kwenye kibanda cha mpesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom