Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1992 - Georgia yajiunga Umoja wa Mataifa.
b723b41175cbdbc704756ab133e90e06.jpg
0302e2ff4f3cbc9db89fed7a02c0e039.jpg
7c74507f048569bfbfc14c1820d5d64f.jpg

Dini yao kuu ni ukristo ndio maana bendera yao in alama ya msalaba hata jina tu linasadifu
Bendera ya pia imefanana na England
Jiji lao kibwa ni Tbilisi .....ukifikiri ni Ibilisi utajijua mwenyewe
.....
 
Leo katika Historia

2006 - Fidel Castro anamkabidhi Mdogo wake Raul Castro madaraka ya kuwa Kiongozi wa nchi ya Cuba.

Licha ya kuwa ndugu, wote walikuwa kwenye " 26th July Movement " kikundi kilichofanikisha Mapinduzi ya Cuba ya mwaka 1959.
0d7de9c1172669ee106a0036fb2d4934.jpg
7d15652264ffbb0df82d4bfbff94687b.jpg
e7d86b6c1a3de5ef187f2a1a07231677.jpg

Fidel Castro alifariki 2016 akiwa na more aka 90
CIA ndo wanamfahamu vizuri maana walifanya majaribio kobao ya kumuua lakini wakafeli
.....
 
Leo katika Historia

2012 - Michael Phelps ambaye ni muogeleaji anavunja rekodi ya kushinda medali nyingi kwenye michuano ya Olimpiki baada ya kushinda jumla ya medali 22 kwa kushiriki michuano mitatu ya Olimpiki ambayo ni ya mwaka 2004, 2008 na 2012.
5777b85b0bcfe77333a7de877651e5d0.jpg
04c8eb419d38f75775241f94b4f99ff0.jpg
:
Jamaa anaogelea kama samaki
Olimpiki ijayo itabidi ashindane na kambale
.....
 
NUKUU 8 KALI KUTOKA KWA MWANASIASA Hashim Rungwe ALIZOZITOA 15/3/2017!

-------------------------------------------------------------------

[HASHTAG]#Mosi[/HASHTAG], "Waziri wa sheria na katiba asilazimizishe mawazo yake yawe sheria. Tunatofautiana kufikri, na TLS inaongozwa kwa misingi ya sheria na kanuni ilizojiwekea kwa hiyo aache wajumbe waamue. Yeye ana kura moja tu asiwalazimishe watu kumchagua kiongozi anayemtaka yeye"

[HASHTAG]#Pili[/HASHTAG], "Huwezi ukaambiwa uoneshe vyeti halaafu unalia ovyo kwa wachungaji.., mwanaume halii hovyo. Kwani umeambiwa kazi ni ukuu wa mkoa tu???"

[HASHTAG]#Tatu[/HASHTAG], "Namshauri RC ambaye ni kama mwanangu, atoke azungumze ili kumaliza huu utata wa vyeti, asimsumbue Rais ana mambo mengi"

[HASHTAG]#Nne[/HASHTAG], "Mimi kama Rais Magufuli akiniteua, nitamshukuru, halafu nitamuomba radhi na kumtaka atafute mtu mwingine"

[HASHTAG]#Tano[/HASHTAG], "Prof. Lipumba anapaswa kuonesha uwezo wake nje ya CUF. Aoneshe nje ya CUF anaweza nini? siyo ang'ang'anie hapo"

[HASHTAG]#Sita[/HASHTAG], "Waliofukuzwa CCM, tunawakaribisha CHAUMMA, waje kwa hiari yao, siwezi kwenda kuwabembeleza"

[HASHTAG]#Saba[/HASHTAG], "Kura zangu ziliibiwa haiwezekani nipate kura 2000, halafu naletewa kura 200, hiyo sifuri moja imemezwa?"

[HASHTAG]#Nane[/HASHTAG], "Ningekuwa Rais jambo la kwanza ningehakikisha wananchi wote wanapata chakula, wanashiba kwanza mengine baadaye. Watanzania wananjaa"

Umeipenda ipi?
98e78e823d1a2998b482e8bcf444e3a6.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom