Makapuku Forum

Makapuku Forum

Haijalishi tunachoangalia ni uaminifu ila yeye hana


....yaani unamsifu mtu ambaye anakuwa mwaminifu kwa mtu mmoja tu? Lol, kimaadili timilifu ukiwa mwaminifu kwa mtu mmoja huwezi kuwa mwaminifu.

Kuwa mwaminifu ni lazima uwe mwaminifu kwa wengi..

Serious Note: Haya maneno ya juu sijaandika mimi, msijenipakazia kwa la habibti wangu. simu iko nachaji kwenye kibanda cha mpesa
 
Hivi ulisema list yako ndo yangu ..??

Maana kwa sasa list yako hiko hivii

649228d83c612f59d9da8fdba56fb34d.jpg


Tumuongeze nan hapo ??


Ha ahahaahahah, nasubiri watoto wa shululu na Tumosa niwaongeze kwenye list, kwa sasa muweke mzeewakungoa
 
....yaani unamsifu mtu ambaye anakuwa mwaminifu kwa mtu mmoja tu? Lol, kimaadili timilifu ukiwa mwaminifu kwa mtu mmoja huwezi kuwa mwaminifu.

Kuwa mwaminifu ni lazima uwe mwaminifu kwa wengi..

Serious Note: Haya maneno ya juu sijaandika mimi, msijenipakazia kwa la habibti wangu. simu iko nachaji kwenye kibanda cha mpesa
Hi hi binamu mbona tunafanyiana hivo ...si nilikwambia kwa queen mchajii simu usimfatilie na unajua kinachoendeleaa
 
....yaani unamsifu mtu ambaye anakuwa mwaminifu kwa mtu mmoja tu? Lol, kimaadili timilifu ukiwa mwaminifu kwa mtu mmoja huwezi kuwa mwaminifu.

Kuwa mwaminifu ni lazima uwe mwaminifu kwa wengi..

Serious Note: Haya maneno ya juu sijaandika mimi, msijenipakazia kwa la habibti wangu. simu iko nachaji kwenye kibanda cha mpesa
Sasa ukishakuwa na mtu zaidi ya mmoja basi wewe sio mwaminifu
Na kweli naona hayo maneno yatakuwa yameandikwa na mtu wa kibanda cha mpesa
 
...oh, kumbe unakumbuka haya mambo bado. Mjomba ujue makubaliano yetu mimi sasa hivi niko na mrembo ninayempenda sana, tafadhari usifukue makaburi.

Mimi nikifukua makaburi yako ya halaiki tusikimbiane humu
Nakumbuka

Hivi wabaya wako si ndo wangu ?? Tofauti na shunie sio mbaya kwangu ila kwako mbaya na husna mbaya kwangu ila kwako mzuri ...naandaa list ya pamojaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom