Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mambo WifiMorning bby wake na shunie
Mambo WifiMorning bby wake na shunie
Oyooooo mond kaopoaaaYah mzima kabisa
Heheheheheeeee jamani kumbe huku unajulikana sana eeenh MondrayOyooooo mond kaopoaaa
Shukrani mkuu shululu
Anko, umeamka salama naamini. Hata mimi pia. Huyu Curious gal nilitaka kumwambia kuwa mimi niko na mdada ninayemfurahia upeo yaani akiomba tano anapata kumi akiomba moyo nampa roho, akikohoa mimi natema, akiniambia nikachekee chooni mimi nachekea kwenye tundu kabisa. Na akisema ninawe uso mimi naoga kabisa na akisema hapendi jino langu la njano mimi naling'oa kabisa.
Sasa nitamwambia nini yeye kwa mfano

Ndo maana anko ninasema yale mambo ya kupigana hayafai, twende kwa fundi ukafanye yako.
Ila usifanye kama ulimvyomtenda yule msaidizi wa mganga Zuwena pale uliponisindikiza nikatafute dawa ya kupandishwa cheo

Jamani mbona mnamfanyia hivo bae wangu
mondray ingoooo nikugambileeeHata kama....but mi nampenda tuSema ana michepukoo mingiii
Ndo umesema nini?![]()
![]()
![]()
mondray ingoooo nikugambileee
Kwa Mimi anafaa asee....tena sio kidogo saaaana tuBasi huyo hafai kabisa
Najitahidi kujua ila bado sipati conceptNdo utajuaaa
Wqnafiki humu wengi ndo maana mm na anko wangu tukatengeneza list ya wabaya wetuu....

Mchawi nduguIla anawamuduuu na kuwahudumiaa
Maua maua
Welcome back
Anampa hongera kwa kuongeza mwanafamiliaNdo umesema nini?
Wifi acha hizoooHaijalishi tunachoangalia ni uaminifu ila yeye hana