Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,010
Yaaaaah najuaa unainyambua haswa ...Hii hadithi ya Mr X inakoelekea sasa inanichanganya Isidingo si isindingo utasema Days of Our Lives, yaani niliyemdhani stelingi kumbe anakufa kwenye maua.
Asante mjomba kitu iko so suspenseful and touchy naifuatilia kwa uzuri kabisa
AmeeeeniiiiAlhamdulillah Tumeamka salama
Ila anawamuduuu na kuwahudumiaaBasi huyo hafai kabisa
Wqnafiki humu wengi ndo maana mm na anko wangu tukatengeneza list ya wabaya wetuu....
Hapo sawa nimekuelewaWqnafiki humu wengi ndo maana mm na anko wangu tukatengeneza list ya wabaya wetuu....
Haijalishi tunachoangalia ni uaminifu ila yeye hanaIla anawamuduuu na kuwahudumiaa
Kung'oa nini tena?
Yah am okay
Nikapiganee nitolewee ngeuuu....huyu kwa fundiiii
Alafu hayo tulisemajee lakin
KwemaaJamani kwema hapa
Basi huyo hafai kabisa
Ndo anang'oa nini?Oh, kulikuwa na typo nyingi sana nimerekebisha. Kung'oa yupo mzee humu ndo kazi yake, njoo chemba nikupe namna ya kujikinga naye
Hahahahahahaaaaa umejiharibia eeeenh...mjomba njoounisafishie jina langu kabla sijachukua maamuzi magumu kama ya kipindi kileeee
Hivi ulisema list yako ndo yangu ..??...kama vipi na yeye tumuongeze, au anko una maslahi binafsi? Maana wewe kukuwekea dhamani japo uko mjomba wangu kwenye haya mambo siwezi kukudhamini aisee
Bhinamu heshima yako ....
Naomba unipe mrejesho ...yule mtu uliyetaka kunisaidia namba za emergency mmemalizana vipi
Nina moyo ujuee
Kwenye uaminifu yupo vizuri ndo maana mama ashura alimtuma dera akanunua mawiliHaijalishi tunachoangalia ni uaminifu ila yeye hana
Alafu safar imepotezwaaa...Tulisema tufanye kimya kimya lakni nimejisahau nikaweka vibration, hata hivyo bado tukomae na mpango mkakati wetu na tufanye kwa mujibu wa hadidu rejea
Hahahahahahhahaaaaaaaa aiseeee basi hongera yakeKwenye uaminifu yupo vizuri ndo maana mama ashura alimtuma dera akanunua mawili
Usifike ukoo nakuomba...mjomba njoounisafishie jina langu kabla sijachukua maamuzi magumu kama ya kipindi kileeee