Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwahiyo sio mkewe wewe mbona alitwambia anamleta mkewe tumuone kama mpaka hapa mondray anakukataa kweli una nyota ya kitumbua
Hahahahahahahaaa hapana sio mimi acha kwanza amalizane na issue za PM then atakuja hapa kukujibu mwenyewe.....nyota ya kitumbua ndo ipoje hiyo😛😛😛😛
Cc Mondray
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom