Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Binamu shikamoo naomba nyimbo mie ya Martha Mwaipaja wewe ni Baba ole wako na leo usiniwekee kama jana....aiseee, kumbe umeungana na aunt yangu kunichafulia cv kwa kipenzi changu, kipenda roho, switihati, apple pie, wali ndondo, uji kwa mgonjwa yaani la habibti husna muba
Uzuri keshasema msifukue makaburi na pamoja na mifupa yote iliyokabatini kwangu bado tunaloviana sana.
Hakuna niliyekuwa namuamini kwa kunitkia mema kama wewe aisee, umepatwa na shetwain gani au shaniatwain
We utakuwa msabato tuKwa niaba ya bible
Jumapili siku ya kwanza
Jumatatu siku ya pili
Jumanne siku ya tatu
Jumatano siku ya nne
Alhamisi siku ya tano
Ijumaa siku ya sita
Jumamosi siku ya saba
From the bible
Binamu shikamoo naomba nyimbo mie ya Martha Mwaipaja wewe ni Baba ole wako na leo usiniwekee kama jana
Ni wewe tu ngojaa nicheze na keyboard alafu usiku nyingineee ili tuimalize mapema.angalau mwakan mwezi wa tisa

Binamu yangu mpenzi sio mimi kabisa hivi naanzaje me kukuchafua jamaan ni anko wako alishinda na simu yangu ndio amenipa muda si mrefu naomba tu umsamehe binamu yangu kwa niaba yangu...yaaani leo sipokei salamu yako maana umenichafulia jina sana, sasa hivi naandaa wanasheria 30 waje wasafishe jina langu na kuomba fidia.
Hujambo lakini,
Uchuro sipendiMama viporoo...mtalaka wa binamu
SawaNilikua nawaza tu mke mwee ujue
Mimi kwenda tupendani gest house anapita kona kwangu shaka ondoaHajaonekana jukwaani hapa au kakuaga
Ndio nimevimaliza nowUmeanzaa na viporoo ...
Ntawatumia picha kwa watsap ya dogoTutumieni picha za watoto kwanza tuwaone ili tujue size zao
Nizoee tuUnazenguaa
Uchuro sipendi