Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Siku hizi wanafukua tu makaburi ya zamai ndio maana vimo vofupi
Na kusafirisha gharama
....
Siku hizi wanafukua tu makaburi ya zamai ndio maana vimo vofupi
Wiki mbili sasa Kibiti hatusikii kitulabda wanajipanga upya
Mbona hawaeleki
Ahsante ndauView attachment 553923Kutoka Meza ya magazeti sina la ziada tukutane tena kesho,
Jumapili njema
Pamoja sana mdauAhsante ndau
Kwa magazeti
Jumapili Njema
....
Pamoja sana jagoodAsante Shululu, jpili njema na kwako pia
Shemela wa mimi apa za kwakoKila mtu apambane na hali yake
Kila mtu apambane na hali yake
Ebu jaribu labda kuongea nae wewe shemela jaman mama arudi jaman watoto wakikosea unawasamehe tuTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO kwa udhamini mnono wa Mama mchungaji
Tafadhali rudi mama mchungaji
Salama shemela wangu za wewe wakina jj na mama yao wanaendeleaje lakiniShemela wa mimi apa za kwako
Baba D amenikataza hizo mamboHiyo roho mbaya..
Morning ShululuMorning mzeewakungoa
Aweke akiba tu manake mke mwenyewe haaminiki... Usishangae ukasikia leo yuko kwa Bitoz kufuata handbag yakeBinamu obe anao wanawake hilo robot halimfai



Mhhh Wee mjukuu.... Yaaani babu na uzee wote huu unamuelekeza Kwenye sabuniSabuni ya kuogea
Kwa heshima yako kipenzii cha rohooooStory ya leo inasikitisha sana aisee yaan nawaza tu apa muendelezo wa kesho halaf huyu babu bubu wanawake wote sio wauaji bana wasemee wako uliokutana nao huko ndio wauaji
Baba D asante sana kwa story jaman

Namsaidia kukuwekea kwenye list make copy ninayooAweke akiba tu manake mke mwenyewe haaminiki... Usishangae ukasikia leo yuko kwa Bitoz kufuata handbag yake![]()
![]()
![]()
![]()