Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Kwa nini asingemsalimia bila kumquote shemela wangu alichoongeaJamani si kamsalimia tu he mbona mwamshupalia bae wangu kah
kwa nini shem sasa mbona ulisema unapenda portabe jaman au huwa unawaona ndotoni

Sawa ngoja nijipikirishesawa shem
Ahahha sawa jamaan na unajitahidiSawa ngoja nijipikirishe
Ndio hivyoAhahhah kivuruge aisee kwenye ubora wake yaan binamu yeye mda wote amekaa kuharibu tu
Shemela shululu ndio mpenzi wa hayo mambo kwahiyo we viportable eenh

Aisee...lol! Kwa hiyo kumsalimia Tumosa nimefanya makosa? Hamna noma, kama nimekosea kutoa salamu basi mwambieni anirudishie, sitaki lawama na mtu mimi
Usimsikilize shunieMarahaabaaa naam, hapo ndipo penyewe yaan kama gaga limepata jiwe la kusugulia
Unajua maana ya mwenzio lakini shemelaHajambo sana sijui mwenzio na we huko shem
Ujue mpendwa wa binamu navuta tu picha ya mama ashura ni bonge sana halaf maziwa hayooo nyuma pasi kiuno na mganga vyote havijulikani woiiii
sema taratibu wasikusikie wenye mama ashura wao
Vibongeeeee
Usimsikilize shunie



shemela hueleweki aisee we vibongee twende viportable twendeAnajenga viwandaa vya kufyatulia watotohongera shem kwa kuwabadilisha kama nguo
Mwenzangu si amemaanisha Baba D jaman au dingimtoto si ndio hivyoUnajua maana ya mwenzio lakini shemela