Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Juliet Ibrahim
8958fedfdd217c7c40a700e50ca4170c.jpg
]
1362563a4175a03e3a6aa135ad2647d8.jpg
f3566c98135922953035cd4dcde06ec8.jpg
Alizaliwa Machi 3 mwaka 1986 huko kwa akina Michael Essien na Andre Ayew
Huyu ni binti wa Kighana anayeonekana zaidi kwenye muvi za Kinigeria
Ameigiza kwenye
4 Play,..
30 Days In Atlanta

Na filamu zingine kemkem
Ana madili kibao ya kueleweka hivyo siyo kama yule staa wa bongo anayeazima hadi nguo za ndani

.........
Supu zinaendelea
 
Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike milele kwa haki yako uniponye

Unitegee sikio lako, uniokoe hima uwe kwangu mwamba wa nguvu, nyumba yenye maboma ya kuniokoa

Ndiwe genge langu na ngome yangu, kwa ajili ya jina lako uniongoze, unichunguze

ZABURI:31:1:3

Muwe na usiku mwema mlindwe na damu ya Yesu kristo
Maneno kama haya adimu sana sikuhizi, nawe pia shem ubarikiwe..!!
 
...mpenzi wangu ambaye ni mpendwa wangu wa nguvu. Ni wewe ndo unanifanya nipumue, yaani ukiandika machache nahisi kama unanikumbatia na kunifanya niwe kamili na ukiandika mengi najiona niko kando ya mto natizama maji yakitiririka na kuupoza moyo wangu.

Usimsikilize aunt yangu, mambo ya mama Ashura yanamuhusu mumewe. Mimi na wewe tu
 
3/Corazon Kqamboka
43a8f5f4e5d25ffa729f6c72daf33be6.jpg
496b53390c330cc0d0fb28e46a342d4a.jpg
fe6e9db8b1bec4d40719937359cb6a44.jpg
Amezaliwa mwaka 1993 hapo ukivuka border la Kilimanjaro kwa wale jamaa wanaodai Mlima Kilimanjaro ni wa kwao
Huyu ni binti wa Kikenya
Ni mwanasheria ila ikumbukwe kila Wakili ni mwanasheria ila siyo kila mwanasheria ni wakili
Pia kuna wanasheria ngazi ya cheti,Stashahada na sjahada
anayechuana na Vera Sidika

.................
 
3/Corazon Kqamboka
43a8f5f4e5d25ffa729f6c72daf33be6.jpg
496b53390c330cc0d0fb28e46a342d4a.jpg
fe6e9db8b1bec4d40719937359cb6a44.jpg
Amezaliwa mwaka 1993 hapo ukivuka border la Kilimanjaro kwa wale jamaa wanaodai Mlima Kilimanjaro ni wa kwao
Huyu ni binti wa Kikenya
Ni mwanasheria ila ikumbukwe kila Wakili ni mwanasheria ila siyo kila mwanasheria ni wakili
Pia kuna wanasheria ngazi ya cheti,Stashahada na sjahada
anayechuana na Vera Sidika

.................

Kumbe huyu dada wa93 aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom