Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1981 - Michael Carrick anazaliwa. Ni kiungo wa Man Utd. Moja kati ya wapiga pasi hodari wa Kiingereza.
ef1290bc6a42af9331fa42ba6900102d.jpg
 
Kwa mujibu wa GPL Lucy Komba anajivunia mwanae kujua kiingereza vizuri ndani ya muda mfupi na kusahau Kiswahili, Aidha Lucy amefurahi mwanae anapata elimu nzuri nchini Denmark na kuachana na tabia za kiswazi toka Bongo...

"Kitambo nawaza malezi bora kwa mwanangu, sikupenda awe na tabia za Kibongo japo ni Mbongo, hivi sasa siyo yeye kabisa ameshasahau Kiswahili siku nyingi maana mtoto ananasa kirahisi, nimefurahi mno" alinukuliwa star huyo aliyesaidia wasanii chipukizi wengi
1a0858203014e36f353623e4a42af5f2.jpg
YAANI UNAFURAHIA MWANAO KUTOJUA LUGHA YAKO??!!!!!!




anyway kila MTU apambane na hali yake
Ni upuuzi wa kiwango cha lami kwa mimi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom