Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Naiona mana imeanzia kwenye tshirt ndio tunapoelekea huko shemela
warithishane tu mi sijali Niko bize napambana na hali yanguNaiona mana imeanzia kwenye tshirt ndio tunapoelekea huko shemela
warithishane tu mi sijali Niko bize napambana na hali yanguTuimalize hii ya Mtoto wa GUHapana iwekwe kiporo cha nini shem
Iweke kiporo

Ee Bwana nakuinulia nafsi yangu

Ahahaha lazima usahau si kwa makabuli hayo ya kutuuliza kuhusu kutuwekea story chochote kinachohusu story we weka tu usiulize
haya wee
Shemela hiyo epo episode 5 tuTuimalize hii ya Mtoto wa GU
Ewaaaaa![]()
![]()
haya wee
Tuimalize hii ya Mtoto wa GU

KaribuJana sikuleta sports segment mniwie radhi leo itakuwa twice matokeo ya juzi na jana.
AminEe Bwana nakuinulia nafsi yangu
EeMungu wangu nimekutumaini wewe nisiabike adui zangu wasifurahi kwa kunishinda
Naam wakungojao hawataaibika hata mmoja wataaibika watendao uhaini bila sababu![]()
ZABURI:25:13
Muwe na mchana mwema mbarikiwe
sana![]()
![]()
Nakuona. Mzima?Tumejaa tele