HISTORIA YA CHE GUEAVARA:
SEHEMU YA TATU:
che Guevara alifungwa kamba na wenzake akakamatwa na kupelekwa kijiji cha LA HIGUERA ambapo baada ya raisi wa BOLIVIA ndugu Rene Barrientos kusikia amekamatwa alitoa amri auawe haraka sana. Wakati huo huo CIA walimtaka apelekwe panama akahojiwe kw kina na salama yake ili asiuawe ilikua apepelekwe MAREKANI japo haikutokea.
Siku moja kabla ya kuuawa alichukuliwq na baadhi ya wanajeshi na kupiga picha ya kumbukumbu na kesho yake ambayo ilikua tarehe 9/10/1967. Aliuawa na askari mmoja aliejitolea kumpiga RISASI sita za kifua na kufa palepale . na huo ndo ukawa mwisho wake akaiaga Dunia akiwa na miaka 39.
Kabla hajapigwa RISASI na askari huyo aliongea maneno yafuatayo.....
Najua umekuja kuniua, nipige RISASI mtu mwoga ww!!!. na ufahamu utakua umeua mwanaume kamili".
Baada ya kifo chake , Guevara alichukuliwa km nguzo ya vuguvugu la kimapinduzi ya jisoshalisti Duniani. picha yake na kofia aina ya BARET aliyopenda kuivaa vimekua km alama za mapinduzi DUNIANI.
....CHE GUEAVARA ktk maisha yake yote alifanikiwa Kua na wake wawili na watoto watano. Ambavyo mke wa kwanza aliitwa HILDA GADEA na alizaanae mtoto mmoja wa kike alieitwa HILFA GUEAVARA aliezaliwa Mnamo mwaka 1956 na kufariki.
Walikua ktk mahusiano kuanzia (1956-1959) waliachana baada ya HILDA kugundua bwana che anatoka na mwanamke mwingine . Hilda aliomba taraka mwenyewe kw wivu wa mapenzi na alikuja kufariki 1974. Miaka 52. hapo mke wa pili wa che Guevara alikuja Kua mchepuko wake huyo.
Mke wake wa pili yaani yule aliekua mchepuko hapo mwanzo aliitwa ALEIDA MARCH kuanzia 1959 mpaka che GUEAVARA anauawa. Wakiwa wamezaa watoto wanne waitwao ALEIDA(1960)CAMILA(1962), CELIA(1963)na ERNESTO(1965).
kuna baadhi ya source zinasema anawatoto zaidi ya watano ambao wengine wanadai wapo Congo na Tanzania .
Ambacho hicho kitu hakina uhakika labda angekuwepo yeye angetuambia ukweli. Ndomana inajulikana alikua anawatoto watano tuu, hao wanaojitokeza kwamba wanawatoto wake watakuja hata siku mie nikifa ila kw sasa Nina LOVENESS pekee.
Kwa ushauri muulize mama yako inawezekana ukawa ww unaesoma hapa ndie mtoto wake . ukibahatika Kua ww muulize mama yako alimpende a nn huyu shujaa Che GUEAVARA kipenzi cha watu Duniani na mpaka kesho usipovaa tishet yenye picha yake utaiona hata Dukani au hapa chini ukimaliza kusoma stori hii.
MWISHO ........kizuri hakidumu Mara zote hupingwa na wenye maslahi yao ..
.