Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Dondoo za bbc.
Zaidi ya watu 40 wana arifiwa kuuawa katika shambulio linalodaiwa kufanywa na kundi la wapiganaji wa Boko Haram huko Kaskazin Mashariki mwa Nigeria.
Huku Afrika ikizidisha juhudi katika kampeni ya kupunguza maambukizi ya HIV, Hayo yanatoa matumaini finyu ya maisha, huku tiba ya HIV ikiwa ni jambo ambalo halitazamiwi hivi karibuni.
Serekali ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo imetangaza masharti mapya yanayo zuia harakati za waandishi wa habari wa kigeni kufanya kazi nchini humo
Wakati Tanzania inasema kuwa imekusudia kuwa nchi ya viwanda na uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025, kumekuwa na ukosaoaji kama azma hiyo inaweza kufikiwa.
Viongozi wa serikali ya Botswana wamekataa ombi la serikali ya China Kuwataka wamruhusu Dalai Lama kiongozi wa dini ya ki budda Kuizuru Botswana na kukataa ombi hilo kwa madai kwamba Dalai Lama ni mtu hatari
Zaidi ya watu 40 wana arifiwa kuuawa katika shambulio linalodaiwa kufanywa na kundi la wapiganaji wa Boko Haram huko Kaskazin Mashariki mwa Nigeria.
Huku Afrika ikizidisha juhudi katika kampeni ya kupunguza maambukizi ya HIV, Hayo yanatoa matumaini finyu ya maisha, huku tiba ya HIV ikiwa ni jambo ambalo halitazamiwi hivi karibuni.
Serekali ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo imetangaza masharti mapya yanayo zuia harakati za waandishi wa habari wa kigeni kufanya kazi nchini humo
Wakati Tanzania inasema kuwa imekusudia kuwa nchi ya viwanda na uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025, kumekuwa na ukosaoaji kama azma hiyo inaweza kufikiwa.
Viongozi wa serikali ya Botswana wamekataa ombi la serikali ya China Kuwataka wamruhusu Dalai Lama kiongozi wa dini ya ki budda Kuizuru Botswana na kukataa ombi hilo kwa madai kwamba Dalai Lama ni mtu hatari