Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170728-WA0008.jpg
 
Dondoo za bbc.

Zaidi ya watu 40 wana arifiwa kuuawa katika shambulio linalodaiwa kufanywa na kundi la wapiganaji wa Boko Haram huko Kaskazin Mashariki mwa Nigeria.

Huku Afrika ikizidisha juhudi katika kampeni ya kupunguza maambukizi ya HIV, Hayo yanatoa matumaini finyu ya maisha, huku tiba ya HIV ikiwa ni jambo ambalo halitazamiwi hivi karibuni.

Serekali ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo imetangaza masharti mapya yanayo zuia harakati za waandishi wa habari wa kigeni kufanya kazi nchini humo

Wakati Tanzania inasema kuwa imekusudia kuwa nchi ya viwanda na uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025, kumekuwa na ukosaoaji kama azma hiyo inaweza kufikiwa.

Viongozi wa serikali ya Botswana wamekataa ombi la serikali ya China Kuwataka wamruhusu Dalai Lama kiongozi wa dini ya ki budda Kuizuru Botswana na kukataa ombi hilo kwa madai kwamba Dalai Lama ni mtu hatari
Ahsante mdau
Nikutakiecsiku njema
....
 
Nawaza kuwa lile neno la ulinzi ndio linatimia au naota

BTW muwe na wakati mwema

Wale wakukazana waendelee
Wale wa kususa waendelee
Wale wa kujitoa in public waendelee
************Nitamalizia***********
Nafikiri juzi hukuwepo
Tulikibaliana kutopiga umbea wala majungu
Yaani kumzungumzia mtu/watu fulani wala thread fulani badala yake tunafanya yanayotuhusu ili kuepusha kukwaza watu maana maisha yenyewe mafupi
Pia tutaonekana hatuna azi za kufanya

Tupambane na ali zetu
Nikutakie siku njema
.........
 
Leo katika Historia

1868 - Marekani yafanya marekebisho kwenye katiba yake na kuruhusu kuwatambua watu weusi kama Raia wa nchi hiyo.
638150ea2953d89b3e2973746df554f2.jpg
62181ee855580c0020c803b2b86034fa.jpg
fe76e65609993559eee89fb9a7154511.jpg

Ila weusi wakaendelea kunyanyasika tu
Ilipofika karne ya 21 ndo Rais mweusi wa kwanza akachaguliwa(Obama) hivyo maono ya Martin Luther King Jr yakatimia I have a dream
.......
 
Leo katika Historia

1914 - Austria- Hungary yatangaza vita dhidi ya Serbia.
Hii ilisababisha kuelekea kwa kuanza kwa vita kuu ya kwanza ya Dunia.
f46b0a9282290c0b9ac5d392c5487002.jpg
25ece6879afbbe67e020b79d344c523b.jpg
a59cd6168d25f15682aaaaeb93c4414d.jpg

Vita ikapigwa hadi Novema 11 mwaka 1918
Austria--Hungary akashindwa vita pamoja na Wajerumani na Warusi
Mikataba kibao ya amani ilisainiwa mfano Treaty Of Versailles
Baada ya vita kuisha ukawa ndo mwanzo wa kuanzisha League of Nations ambao siku za mbeleni ukawa Umoja wa Mataifa
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom