Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/Vifo vitokanavyo na uzazi
73fb3c33c2651a8a898b01c24d3a05f9.jpg
14484ef0effe186a0a0d50aa9a036c88.jpg
097e453f610767cc52520dd6331d6edc.jpg
Kuna usemi kwamba ujauzito ni nusu ugonjwa
Kilichomtokea mke mdogo wa Mzee Yusuf juzijuzi hapa kila mtu anajua...inasikitisha
Vifo vinavyoongelewa ni vya mama wajawazito pamoja na vya watoto wachanga wakati wa kujifungua
Huathiri zaidi nchi maskini kutokana huduma mbovu za afya
Kina mama nusu Milioni na watoto zaidi ya 2.5 Milioni hufariki
Jumla ni vifo 3+ Milioni
.........
Da asee hili ni janga zito mungu atusaidie wamama kwa kweli

Mi nikipataga mimba naonaga km kubet hivi maana kuwin au kupotea kabisaa ila kinachonifariji ni kwamba kufa kupo tu hata usipozaa siku yako ikifika utakufa tu

Mpendwa obe naomba nigongee nyimbo ya king crazy gk ya "NITAKUFAJE"
 
..yaani unakuta mtu ana mpenzi mmoja tu au hana kabisa lakini kila mwezi anaenda kupima! Huku ni kuharibu rasimali za serikali, wapime wahitaji.

Yaani ukipima halafu ukatoka negative unapaswa ushitakiwe kwa kuchezea vifaa tiba vya serikali.
Huwa sitakagi mchezo kwenye masuala ya mali za umma🙁
Mbavu zangu


....
....
 
Hell yeah!! I do agree with u

Good evening to u shedede hope u good!

Madame S
Am good madame s

I remember wah u told yesterday it's like "siwez kutamka neno,namtakiaga mpenzi wangu tu"

I have a shorty and simple quastion to you...

May i continue..?

post using my macbook air using jamiiforums app
 
3/Maambukizi katika njia ya upumuaji
6ace91a8665d6b74db3dd1155575b5ae.jpg
679340a8dcef66d18bf425854fb5bbf6.jpg
462f9c5f9338b7c37dbcfe4b5fb71377.jpg

Hakuna mswahili asiyeujua ugonjwa wa pumu
Pia juzijuzi kuna kapuku mwenzetu kapoteza maisha kutokana na maradhi ya upumuaji{RIP Ibra)
Huu ushambulia mfumo wa upumuaji...Unaweza kuwa pneumonia au bronchitis
Tunasisitizwa kufanya mazoezi,kula vyakula salama kwa afya,kuishi kwenye nyumba zenye hewa swaafi yaani madirisha yanayoruhusu hewa kupita,pia tupandikize miti nyumbani,kuepuka kazi za vumbi n.k
Husababisha vifo 3.5 Milioni kwa mwaka
.........
Muhanga nipo hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom