Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/Vifo vitokanavyo na uzazi
73fb3c33c2651a8a898b01c24d3a05f9.jpg
14484ef0effe186a0a0d50aa9a036c88.jpg
097e453f610767cc52520dd6331d6edc.jpg
Kuna usemi kwamba ujauzito ni nusu ugonjwa
Kilichomtokea mke mdogo wa Mzee Yusuf juzijuzi hapa kila mtu anajua...inasikitisha
Vifo vinavyoongelewa ni vya mama wajawazito pamoja na vya watoto wachanga wakati wa kujifungua
Huathiri zaidi nchi maskini kutokana huduma mbovu za afya
Kina mama nusu Milioni na watoto zaidi ya 2.5 Milioni hufariki
Jumla ni vifo 3+ Milioni
.........
 
5/Vifo vitokanavyo na uzazi
73fb3c33c2651a8a898b01c24d3a05f9.jpg
14484ef0effe186a0a0d50aa9a036c88.jpg
097e453f610767cc52520dd6331d6edc.jpg
Kuna usemi kwamba ujauzito ni nusu ugonjwa
Kilichomtokea mke mdogo wa Mzee Yusuf juzijuzi hapa kila mtu anajua...inasikitisha
Vifo vinavyoongelewa ni vya mama wajawazito pamoja na vya watoto wachanga wakati wa kujifungua
Huathiri zaidi nchi maskini kutokana huduma mbovu za afya
Kina mama nusu Milioni na watoto zaidi ya 2.5 Milioni hufariki
Jumla ni vifo 3+ Milioni
.........
 
4/Ugonjwa wa Mapafu
74ce9efaa39d7d0e1879377b86d12a1d.jpg
adba2c7eb54666db53a80c5da9bf9f62.jpg
89307dee215699aca60ec5899e865316.jpg

Mwana vuta tu sigara maana mapafu ni mali yako pia sigara unanunua kwa pesa yako ila elewa tu huo sio ujanja na mapafu yako yamejaa masizi kama sufuria la maharage kwenye jiko la kuni
Unafahamika zaidi kitaalamu kama CORD..Unaweza kuwa Wa muda mfupi au mrefu
Uvutaji sigara huchangia huu ugonjwa
Unaua watu 3.3 milioni kwa mwaka
.........
 
9af566c337695943e391ecc93573f3d7.jpg

Achana na Kim Kardashian au Katie Price (Jordan)
J.lo ni mmoja kati ya mastaa wa kike mapepe warembo na mapepe a.k.a cha wote
Ben Afleck,P.diddy na mastaa kibao wamepiga ...bila kuwasahau madansa wake
2933532b4f75b2a9ad4d9748212d8ea0.jpg

Filamu ya Anaconda ilimwonfezea umaarufu na pia kuingiza mkwanja wa kueleweka :
Jenny fFrom The Block
:
All I Have
.....

Asante sana kwa hizi Ngoma

Huo Jen from the block ndio alikua akiwajulisha watu kwamba hajabadilika yeye ni yule yule wa kitaa

All I Have ni moja kati ya Ngoma zake ambazo nazielewa sana
Kiufupi namkubali sana JLO
 
4/Ugonjwa wa Mapafu
74ce9efaa39d7d0e1879377b86d12a1d.jpg
adba2c7eb54666db53a80c5da9bf9f62.jpg
89307dee215699aca60ec5899e865316.jpg

Mwana vuta tu sigara maana mapafu ni mali yako pia sigara unanunua kwa pesa yako ila elewa tu huo sio ujanja na mapafu yako yamejaa masizi kama sufuria la maharage kwenye jiko la kuni
Unafahamika zaidi kitaalamu kama CORD..Unaweza kuwa Wa muda mfupi au mrefu
Uvutaji sigara huchangia huu ugonjwa
Unaua watu 3.3 milioni kwa mwaka
.........
Tumbaku ni hatari sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom