Makapuku Forum

Makapuku Forum

..yaani unakuta mtu ana mpenzi mmoja tu au hana kabisa lakini kila mwezi anaenda kupima! Huku ni kuharibu rasimali za serikali, wapime wahitaji.

Yaani ukipima halafu ukatoka negative unapaswa ushitakiwe kwa kuchezea vifaa tiba vya serikali.
Huwa sitakagi mchezo kwenye masuala ya mali za umma🙁
mkuu umetisha

Naomba dedication ya my all baadae baade kama itakua kuna mtu amewahi me utanifanyia hata kesho ya mariah carey imfikie Bailly5

Madame S
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom