Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Kiharusi
798c612b1a0645caf0fe710ccf511384.jpg
63cb8f18b31553253559cb7023613882.jpg
f814f321bcc4bd3f3cd4789d00f24fdd.jpg
Kitaalamu unaitwa Stroke kwa Lugha rahisi ni kupooza
Ikumbukwe ili ubongo iweze kufanya kazi unahitaji hewa ambayo husafirishwa kupitia kwenye damu hivyo chakula cha ubongo ni damu sasa kiharusi hutokea pale damu inapofeli kufika ubongoni au kufika chini ya kiwango kwa sababu mbalimbali mfano mishipa kupasuka, shinikizo la juu la damu n.k
Mgonjwa wa kiharusi sio tu hupooza mwili bali pia akili
Huua watu 6.1 Milioni kwa mwaka
.................
Ugonjwa mbaya sana huu

Wapendwa wangu baadhi wameondoka nao
 
3/Maambukizi katika njia ya upumuaji
6ace91a8665d6b74db3dd1155575b5ae.jpg
679340a8dcef66d18bf425854fb5bbf6.jpg
462f9c5f9338b7c37dbcfe4b5fb71377.jpg

Hakuna mswahili asiyeujua ugonjwa wa pumu
Pia juzijuzi kuna kapuku mwenzetu kapoteza maisha kutokana na maradhi ya upumuaji{RIP Ibra)
Huu ushambulia mfumo wa upumuaji...Unaweza kuwa pneumonia au bronchitis
Tunasisitizwa kufanya mazoezi,kula vyakula salama kwa afya,kuishi kwenye nyumba zenye hewa swaafi yaani madirisha yanayoruhusu hewa kupita,pia tupandikize miti nyumbani,kuepuka kazi za vumbi n.k
Husababisha vifo 3.5 Milioni kwa mwaka
.........
Ungonjwa hatari sana huu
R I P Ibra
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom