Makapuku Forum

Makapuku Forum

3270daed4dc99856166b1af051b63e3c.jpg
Aisee
 
3/Maambukizi katika njia ya upumuaji
6ace91a8665d6b74db3dd1155575b5ae.jpg
679340a8dcef66d18bf425854fb5bbf6.jpg
462f9c5f9338b7c37dbcfe4b5fb71377.jpg

Hakuna mswahili asiyeujua ugonjwa wa pumu
Pia juzijuzi kuna kapuku mwenzetu kapoteza maisha kutokana na maradhi ya upumuaji{RIP Ibra)
Huu ushambulia mfumo wa upumuaji...Unaweza kuwa pneumonia au bronchitis
Tunasisitizwa kufanya mazoezi,kula vyakula salama kwa afya,kuishi kwenye nyumba zenye hewa swaafi yaani madirisha yanayoruhusu hewa kupita,pia tupandikize miti nyumbani,kuepuka kazi za vumbi n.k
Husababisha vifo 3.5 Milioni kwa mwaka
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom