Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Babe umeniweka moyoni na me nimekuweka moyoni usije niacha nikaumiaOrugamboo ....maee orugambooo
Nkagenda daisalaaaamuu ...nashangayo abajunguuu




Hii komesha kwa watu kama binamu mpenda michepuko japo yake ni ya uhakika yaan kula kunywa na kulishwa ....kapuku thamani yako ni kubwa sana unapotenga mda wako na kushinda hapa tukishare mawili matatu yote ya kuelimishana na kutaniana ....
Kapuku ni kiboko panaweza kukufanya ata usahau kula hasa pale jukwaa linapochangamka ni ukweli ulio wazi panatusaidia sana make stress zote za siku na familia zikiwemo tunazisahau tukiwa humu.....
Kama kawaida baada ya bhinamu kunifundisha kuapuloooodiii video hapa za youtube mwendo wa kuwaleteaa cheusi wanguuu. ....
Don't mess with kansiime. ...enjoy it....





Hahahaha...![]()
kawa mzungu now days
Hapo sawa, yaani nilikuwa nishaenda kutafuta maziwa ninywe na ndimu nilale, nani anataka BP kirahisirahis. Nina moyo jamani, tuwe tunahurumiana

Bada ya kuachwa kaamua kubadilisha kila kitu![]()
kawa mzungu now days
Bada ya kuachwa kaamua kubadilisha kila kitu
...Orugamboo ....maee orugambooo
Nkagenda daisalaaaamuu ...nashangayo abajunguuu

Worry outThank you
post using my macbook air using jamiiforums app
Haya shemejiMwache amuitee... Ni me miss tayari
Utajikwaa shemela ujue