Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Aniulize nini tena mimiMuulize shunie au lee?
Aniulize nini tena mimiMuulize shunie au lee?
Ameishaipata, Asante kwa taarifa shemela wanguAhhaha shemela halaf mama alikua anashida na no yako ebu mpm ukipata mda
Ahahha ni D jamaan shemela halaf mbona hilo B unaonekana umelipenda shemelaNzuri kabisa shemela wangu wa ukweli
B/D hajambo
AiseeHabar my family
cc husna muba
Shedede niaje, nikuulize swaliHabar my family
cc husna muba
Anakudanganyaa tuu
Sawa shemelaAmeishaipata, Asante kwa taarifa shemela wangu
Halaf binamu umesahau kuwa wewe unakuaga wa mwisho kujua kila kituPicha gani mjomba!
Si unajua mpwao ubongo MB 121, nachelewa kufahamu afu kusahau kama kupiga ukope
Kila mtu kwa wakati wake jamaan we chagua tu hata kama mie nimechagua
Kuwa mpole atakuuliza..Aniulize nini tena mimi
Nani Kala banSakayo nahisi ban inanukia ujue ule uzi umefungwa na kuna mmoja kala ban
D ni zuri sanaAhahha ni D jamaan shemela halaf mbona hilo B unaonekana umelipenda shemela
Asante binamu ujumbe umenifikia mubashara ubarikiwe sana binamu yangu najua mapenzi yana nguvu sanaChaguo la husna muba linakuja kwanza, wewe lako litasubiri sana, yaani leo akichagua wimbo naweka album nzima, akiomba album namletea band nzima, akiomba picha namletea na negative.
Chaguo lako litasubiri hadi Ramadhan ijayo. Kupenda kazi kama ulikuwa hujui hii ndo masterPhD
We ukienda utajua dadaNani Kala ban
Kweli aisee, labda tumuulize husna muba alikuwa anampa nini hivihajui kuachika kabisa shedede aibu unaona wewe uliyemwacha
Basi shemela usitamke tena BD ni zuri sana
Aiseee4/Yellow River![]()
![]()
![]()
Maji yake yana rangi ya jezi za Yanga na ndo sababu ya kuitwa hivyo
Unapatikana huko barani Asia nchini China na unajulikana pia kama Huang He
Una urefu wa Km 5464
......