Makapuku Forum

Makapuku Forum

9/Congo River
c75358992b452b131f0adf2190b3d612.jpg
a6aebe3e004d917584c1880348a12fde.jpg
10c096985b9f53f3fadb6e5cbf059834.jpg

Kama jina lake linavyosomeka unapatikana huko kwa wakongomani ila pia huitwa Mto Zaire
Ni mto wenye kina kirefu cha maji barani Afrika na kama kawaida kuna samaki bila kuwasahau mamba...una kina cha futi 720
Ni mto wenye urefu wa Km 4700
......
 
d0b9d8544ae3c755d7cbae64aeb45441.jpg
Kwa wasiofahamu wanyama kama mbwa wana uwezo mkubwa wa kung'amua dalili za tetemeko sababu wanasikia mawimbi/mtetemo kutoka umbali mrefu ardhini

Hata Kagera ilikuwa hivyo ila kutokana na "ushamba" wa wabongo wakawadharau mbwa na kuwaona vichaa jinsi walivyokuwa wanakimbiakimbia na kubweka matokeo yake wanayajua wenyewe
End
.....
..........
kuuuuumbeeee!!!!!!
 
9/Congo River
c75358992b452b131f0adf2190b3d612.jpg
a6aebe3e004d917584c1880348a12fde.jpg
10c096985b9f53f3fadb6e5cbf059834.jpg

Kama jina lake linavyosomeka unapatikana huko kwa wakongomani ila pia huitwa Mto Zaire
Ni mto wenye kina kirefu cha maji barani Afrika na kama kawaida kuna samaki bila kuwasahau mamba...una kina cha futi 720
Ni mto wenye urefu wa Km 4700
......
Duuh

Hivi 4700 ni safari ya Songea kwenda Rorya na kurudi eeh?
 
Hilo ni kweliii ...hawa viumbe wana uwezo mkubwa wa kudect kinachotoka ndani zaidiiii hasa zile wave muhimu na hatari zinazosababisha haya majanga....viumbe wengi mfano panya ...mbwa ...nyoka ..centipede wanauwezo mkubwa wa kuditect zile wave muhimu hasa ni P wave nikimanisha primary wave ambazo nadra sana binadamu wa kawaida kuziditect ....make hizo ndo zinatoka mapema kabla ya zile S wave ...hizi sisi tukizigundua bhasi hao viumbe yawezekana ishapita ata wiki washagundua kitu hikiii...

Ila mechanism ya ni namna gani wanaweza kugundua still ni kizungumkutiiii....
Nazidi kujifunza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom