Makapuku Forum

Makapuku Forum

....si unamkumbuka yule mganga uliyenipeleka pale niliponyimwa mshahara ?
Huyo huyo yule ambaye ulitaka kumtorosha msaidizi wake kile kidada cheupe

Ila ulinisaidia sana, yaani dawa nikawa napewa bure, kananiita shemeji kumbe wewe anko wangu
Sasa mambo ya 2013 yanaingiajee hapa ...

Nakuona tu au nimwambie husna mpango wako kwakeee
 
...oh, hivi Mimi ndo niliandika hayo, niliptiwa tu nashetani sasa kaniacha hapa nakunywa chai na croissant ndo nimejua kuwa wewe ni mshauri wangu mzuri nakutegemea sana.

Tukienda ile safari yetu itabidi tumkemee shetani
Binamu safari itakuwepo endapo utabadilika Mama ni mtu wa Mungu kabisa
 
6/Yenisei River
5d6ea4329d75719c10aa0bb0b9075de3.jpg
1ef716c15012980a49427986dcdec766.jpg
605b7374956651a2e3efc42a10b78ed3.jpg

Unapatikana huko China
Unaandikwa pia kama Yenisey
Upo kwenye jimbo la Mongolia na unamwaga maji sijui unatokea bahari ya Aktiki
Una urefu wa Km 3487
.
.
Na huu ungekaa huko nyuma
Ndiyo maananikasema kwenye utanguluzi watu wanapishana mito waipimaje
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom