Makapuku Forum

Makapuku Forum

8/Panama River
7a835fecd71fe14154aa05c506505884.jpg
27ba182763619bee10d005611a677ce6.jpg
0a222ee0aed0dea3d5fe4de0fcb8ca6d.jpg
Linapatikana huko Amerika Kusini kwa akina Mess I,Neymar n.k
Ni mto uliopita katika nchi kibao tu kama vile Panama,Brazil,Argentina na Paraguay
Ni mto wa pili kwa ukubwa Anerika Kusini ukipitwa na Amazon pekee
Una urefu wa Km 4880
.....
 
TOP TEN
UPI ni mto mkubwa kati ya Amazon na Nile?
Hilo swali limezua malumbano makubwa wapi wanaoamini ni a amazon sababu tu ya upana na kina chake cha maji ....hawa wapo shihi
Wengine wanaoamini ni Nile sababu ni mrefu kwa umbali....hawa pia wapo sahihi
Wengine wameegemea kusema tu ukubwa wa mto unatofautiana kulingana na chanzo cha mto,mwinuko n.k....watajijua wenyewe

Basi tuangalie mito kumi mikubwa/mirefu zaidi dunia ni
Urefu ninaouzungumzia ni ule ambao unapimwa kwa kulaza rula kuanzia mto unapoanzia hadi kuishia
Karibuni
.......
Karibu na wewe

Upjme MTO kwa kulaza rula!!!!

Mmmh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom