Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Tuache jamaaanZiko kama vile mtu amekufa
Tuache jamaaanZiko kama vile mtu amekufa
....labda alikula makande !? Maana mtu akila makande wikend huwa anapenda kuanzisha mambo yaliyoisha.
















Thitaaakiii bhanaaa kwan lazima hizooutazizoea tu jamaan na hizi utasema haupendi
Aisee binamu kweli....yaani wewe uaminiwe , hata mimi nakuamini nikiwa nimelewa
Waganga wa binamuWaganga wapiiii
Y sasa uzi ufungweeHatujafanya kitu baba d ni kuongea tu
Sawa bhanaa
Basi Baba D yameisha jamaanThitaaakiii bhanaaa kwan lazima hizoo
Mods wameamua tu kuufunga wameona kama wa uchochezi labda ni uzi wa mapenziY sasa uzi ufungwee
Huyu mdada huwa ananikoshaaaa....
PoaMods wameamua tu kuufunga wameona kama wa uchochezi labda ni uzi wa mapenzi
Lazima akukoshe si unakumbuka ulipoendaga Tororo kwa yule mtu, ulikula ada kwa ajili yake
Nyuzi zenu na DadaMods wameamua tu kuufunga wameona kama wa uchochezi labda ni uzi wa mapenzi
Zeal??
Zeal in swahili is Jitihada..